ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Kwani air Tanzania imefufuliwa lini na unajua aliefufua ni Nani???πππππInvestment since 1977?
Yani hata sijui hua munahangaika na kitu gani
2017 air Tanzania ndio imefufuliwa SASA hata sijui kwann munatapatapa na SASA ina ndege 16 just imagine kutoka zero to 16 aircrafts ππππππ