ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Inatengeza bei gani na kq inatengeza bei gani ikiwa inamiliki ndege tatu chakavu 🤣🤣Kwani ni uongo ACTL tangia kufufuliwa inatengeza hasara ilhali ndege ni za cash
Air Tanzania still bado iko kwenye investment period hatujamaliza bado mpaka tuhakikishe shirika Lina ndege 30 hvi alaf SASA tutawaachia wenyewe waanze kununua ndege na sio serekali 🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe munaumia Sana