ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 45,536
- 52,599
Alaf mechi yenu ya CAF munapeleka Malawi🤣🤣
there is no match Kenya is going to play in Malawi. Nyayo will be given a greenlight nextweek.Alaf mechi yenu ya CAF munapeleka Malawi🤣🤣
Acha ugoro bana. Eti finyu.Leta majaribio alafu pili mizigo yenu ni finyu ikilinganisha na Mombasa port
Shida yako nini? Mbona unajiaibisha, umejengwa mwaka huu kuwa hivyo na mwaka huu CAF watapita, ni kila mwaka wanapita kukagua.
Yaani tatizo, kwanza hiyo kasarani na Nyayo miaka ya nyuma ilifanyiwa renovation sasa hata hazifikii hiyo Namboole wala Amahoro, alafu wanalaumu.Mwehu wewe kwani hii stadium imefanyiwa renovation lini sijuzi Tu hapa?? Au ww unataka kusema nn au munaumia kisa Tanzania imewaacha kwenye stadium issue??😂😂😂😂😂
Haiwezi zibwa hapo mbele ili ichongoke vizuri?
Inachodaiwa kunyaland na kinachoonekana ni tofauti,slums is everywhere there
Hapo bado sisi pia tukiamua kuwadai zile dawa za tb walizotuomba,mbigilisi wa kikunya wana dhiki ya hatari!Hiyo ni IMF bado China