Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani ni uongo ACTL tangia kufufuliwa inatengeza hasara ilhali ndege ni za cash
Inatengeza bei gani na kq inatengeza bei gani ikiwa inamiliki ndege tatu chakavu 🤣🤣

Air Tanzania still bado iko kwenye investment period hatujamaliza bado mpaka tuhakikishe shirika Lina ndege 30 hvi alaf SASA tutawaachia wenyewe waanze kununua ndege na sio serekali 🤣🤣🤣🤣🤣

Kumbe munaumia Sana
 
Sisi kwetu floods hakuna tena nashangaa eti Kenya bado kuna floods, floods Kenya imekua zaidi ya 250 na hio ni number ya serekali ambayo siku zote ni ya uongo
Serikali ya uongo?… why do you practice projection so much?… 🤣🤣🤣… ama unataka nianze story za Mangufuli yuko Mzima tena?..🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom