Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe libaba lizee unaona stadium wapi hapo? Hizi ni dalili za uzee. Macho yashaanza kupatwa na shida ya kuona vizuri
ndo quality ya viwanja mnajenga! Hapo kati mnaweza kuweka pitch ikawa international stadium maana kuna mahali nimeona soko linavunjwa wanazungusha ukuta then inakuwa Bukhungu international stadium pale Kakamega ready for Madaraka celebration!

Render
DrVm0HkXgAEy-Nk


VS

Kinachoendelea

View: https://x.com/EricNjiiru/status/1762777785351786599
 
ndo quality ya viwanja mnajenga! Hapo kati mnaweza kuweka pitch ikawa international stadium maana kuna mahali nimeona soko linavunjwa wanazungusha ukuta then inakuwa Bukhungu international stadium pale Kakamega ready for Madaraka celebration!

Render
DrVm0HkXgAEy-Nk


VS

Kinachoendelea

View: https://x.com/EricNjiiru/status/1762777785351786599

The construction on ground clearly matches the render. There's absolutely no discordance between the two. I wonder what you're on about.
 
Back
Top Bottom