Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,880
- 32,657
Timu ya Harambee Stars inaenda kucheza Malawi licha ya viwanja vyote ulivyokuwa unatamba navyo huko unyang'auni, ha ha ha😎Unapanga kuenda kaloleni slum tena? Huko kulibomolewa sijui utaishi wapi this time round.