Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Unasumbuka kuhusu mafuriko ya Kenya wakati hali ni mbaya hata zaidi kwenu
1715331288346.jpg
 
Sisi kwetu floods hakuna tena nashangaa eti Kenya bado kuna floods, floods Kenya imekua zaidi ya 250 na hio ni number ya serekali ambayo siku zote ni ya uongo
Of course Yemen hakukuwa na floods ila Tanzania kilikuwa na mafuriko
 
Of course Yemen hakukuwa na floods ila Tanzania kilikuwa na mafuriko
Narudia tena over 2 weeks SASA Tanzania hatuna habari ya mafuriko kwann Kenya bado Naskia mafuriko, kuna shida gani au ni laana ya Nani 👇
 
Duh! Inaogopesha well nakumbuka bongo tozo ya Tsh 100 ilileta mzozo mkubwa mpaka ikaondolewa.

Ila Kenya dah! Kila sehemu tozo ingekuja bongo mbona ingekua vurugu sana.

Point kubwa ni kuwa kuna kila njia serikali inaweza jipatia mapesa, madini, ports, utalii, uvuvi, anga, mawasiliano, miundombinu, kilimo, michezo.

Ila wajinga wanaacha hizo zote wanakuja kutukamua sisi na unakuta foreigners ndio wanaofaidika nazo.

Inakera.

Zakayo ni jina tu..

Watu walipe kodi.. Ama namna gani.. Si ndiooo

Unataka wala wadosi wasilipe kodi? Soo I will not preside in a bankrupt nation..

Hahaha waiting for limuru 3... Watu wa mount Kenya wana jambo Lao... 😂😂🤣🤣
 
Back
Top Bottom