Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Suluhu ameenda visit France na hata hawezi wekewa red carpet akitoka kwa ndege, anawekewa carpet ya kupanguzia vumbi kama zile za milango 😂😂😂


View: https://x.com/MariaSTsehai/status/1790296349667205216

Yani mtu mwenyewe hata mjadala anaoleta ni wakisenge.
Kuna mjadala wa maana hapo!?
Jadili kilichompeleka Samia France ni kipi na je kimefanikiwa?
Hilo ndio la msingi.
Habari za kupokelewa hazina mantiki yeyote.
 
Ili kunusuru thread hii natangaza rasmi Leo kua kila kitu kinachokuja Tanzania kinatoka Kenya mpaka Boeing na airbus zimetoka Kenya, nafanya hvi kama mwenyekiti ili battle hii iendelee, hata boti zote za Azam zinatoka Kenya kulingana na governor sonko


Haya naomba likes zenu wakenya wote 🤣🤣
 
Ili kunusuru thread hii natangaza rasmi Leo kua kila kitu kinachokuja Tanzania kinatoka Kenya mpaka Boeing na airbus zimetoka Kenya, nafanya hvi kama mwenyekiti ili battle hii iendelee, hata boti zote za Azam zinatoka Kenya kulingana na governor sonko


Haya naomba likes zenu wakenya wote 🤣🤣
Ila Wakenya wenzie wamemshukia!
 
Na wakiambiwa ukweli kua wao ni maskini wanakua wakali 🤣🤣🤣🤣🤣

2.5m people wanaishi kibera slum hawana KAZI wala hawajui Kula Yao na wanalala kwenye mabanda hata nguruwe hawezi lala hio Kodi atalipa na nn

Eti matajiri wanne Wana control utajiri wa watu zaidi ya million 25🤣🤣🤣🤣


View: https://twitter.com/ntvkenya/status/1790468075961070036?t=TCRJOD5A3v08mi-Uik2Owg&s=19


View: https://twitter.com/MwangoCapital/status/1616013580972736517?t=UoSX3qpPlTHR1ODu0K2JSw&s=19
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom