Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jengo la Ibalozi mdogo wa Burundi Kigoma
20240515_112754.jpg
 
Hakusema Niger-Congo, alisema Volta-Niger. 🤣 🤣
Halfu hivi unadhani Bantu, Cushite, Nilote ni nini? Hizo zinaitwa Linguistic groups aisee.
Alafu Niger-Congo is not a subset of Bantu, Bantu is a subset of Niger-Congo. Natumai hicho kizungu hakitakupita tena. Hakuna kitu kinachoitwa Bantu Protoype.
Nakwambia umejiingia kwa mjadala usioelewa kitu alafu unakazana kujibizana. Nenda nyumbani kabla ujiabishe zaidi.
Aiseee.
Wacha ninyamaze maana nabishana na mtu asiyefahamu kitu.
 
Ethnic ni population ambayo ina share common culture na language ni miongoni mwa culture.
Hizo sukuma,igbo e.t.c ni tribes.
Mathalan sukuma,nyamwezi,Nyaturu hizi ni tribes ambazo zinaingia kwenye bantu ethnicity.
Na hizi tribes hu share common culture including language kwasababu wanatokea katika ethnicity moja.
Ushachanganya mambo.
Cushites ni ethnic group of population which shares the same cultural aspects including language.
For example Amhara,Oroma,Shunguli these are all cushites.
Hivyo ethnicity is not only about language is also about customs and norms of a certain population.
Fala wewe.
Kama kwenu Kenya wanawafundisha Ethnicity is only about LANGUAGE basi sitamleta mwanangu asome Kenya mtamharibu.
Usinifanye mie mpuuzi kijana.
Ethnicity is another word for tribe wewe kilaza wa bongo. They are used interchangeably.

Hakuna kitu inaitwa BANTU ETHNICITY as you've outlined above. Bantu is a LANGUAGE GROUP, not ethnicity.

Didn't you study a topic called "African language groups" both in primary school and highschool? Ama ulifukuziwa school fees during that time?

Unabisha na hata wewe mwenyewe unakunali kwamba Oromo, Amhara na Shuguli are all Cushites which is true and at the same time refuting that they don't belong to the same language group!! What a waste!!
 
Ethnicity is another word for tribe wewe kilaza wa bongo. They are used interchangeably.

Hakuna kitu inaitwa BANTU ETHNICITY as you've outlined above. Bantu is a LANGUAGE GROUP, not ethnicity.

Didn't you study a topic called "African language groups" both in primary school and highschool? Ama ulifukuziwa school fees during that time?

Unabisha na hata wewe mwenyewe unakunali kwamba Oromo, Amhara na Shuguli are all Cushites which is true and at the same time refuting that they don't belong to the same language group!! What a waste!!
Soma hapo uelewe maana ya ethnicity,maana huwenda ukawa mimi hunielewi.
Ethnicity hu comprise cultural aspects ambayo language ni moja wapo.
Ethnicity is not only about language.
Ndio maana nikakutolea mfano wa Amhara na Oromo hizi ni two tribes with the same ethnicity.
Katika language kuna masuala ya subdivision ya chimbuko halisi ya ile lugha.
Ndio maana sishangai maana elimu ya Kenya ndio inaowafundisha Olduvai ipo Kenya.
Screenshot_2024-05-15-11-33-44-51_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Mhe. Prof. Makame Mbarawa (Mb.), Waziri wa Uchukuzi amefanya mazungumzo na Mr. Fei Dongbin, Kiongozi Mkuu wa Mamlaka ya Reli ya Jamhuri ya Watu wa China. Kiongozi huyo wa China ambaye yupo nchini kwa ziara ya siku tatu pia leo tarehe 14 Mei 2024 ametembelea TAZARA kuona hali ya miundombinu yake na kupata taarifa ya hali ya utoaji huduma ya TAZARA. Ikumbukwe kwamba TAZARA ilijengwa Serikali ya Watu wa China miaka ya 1970s.

1715763312631.png
 
Aiseee.
Wacha ninyamaze maana nabishana na mtu asiyefahamu kitu.
Wacha nijaribu kukufunza kidoogo kama utaendelea na kiburi cha ujinga niachane nawe.
Kuna kitu kinaitwa Language family. Hapa Afrika kuna language families kama Niger-Congo, Nilo-Saharan na Afro-Asiatic.

Ndani ya Language Family kuna language groups.
Kwa Afro-Asiatic Family kuna language groups kama Cushites, Chadic, Egyptian, Berber n.k
Kwa Nilo-Saharan Family kuna language groups kama Songhay, Central Sudanic, East Sudanic (Nilotes) n.k
Kwa Niger-Congo Family kuna language main language group mbili - Niger-Congo A na Niger Congo B. Niger Congo B ndio Bantu. Niger Congo A imegawanyika zaidi kwa sub-groups zingine ambazo ni Kwa, East Kwa (Volta-Niger), Adamawa n.k

Ndani ya Language groups kuna ethnic groups.
Bantu natumai unajua ethnic groups zao
Nilotes pia natumai unajua.
Cushites pia unajua.
Chadic group ina ethnicities kama Hausa, Fulani, Massa n.k
Hapo kwa East Kwa language group ndio kuna Yoruba, Igbo, Edo, Fon n.k.

Tribe nalo ni jina la Kikoloni lililotumika kuita ethnicities ambazo wazungu waliziona kuwa backward na magwiji wa lugha wa nyakati hizi wanadiscourage kulitumia. The right word to use is ethnicity.

Ulivyo na akili mgando sidhani utaelewa haya niliyoandika ila hii information natumai itawasaidia wengi wenye hamu ya kujifunza kuhusu language groups and families.
cc. Geza Ulole
 
Wueh. 🤣 🤣 🤣
Mwalimu Nyerere aliwai sema kuna mtu mjinga na mtu mpumbavu. Mwalimu alisema ujinga ni ignorance. Mjinga ni yule asiyejua na akiambiwa inakwisha. Upumbavu nao ni foolishness. Foolishness ni kipaji kama ufupi na urefu. Mpumbavu hata ufanye nini hawezi badilika. Namshukuru Mwalimu Nyerere kwa kutueleza haya mambo ya busara maanake ametusaidia kujua tunadeal na Mpumbavu hapa maanake mjinga angekuwa ashaajua baada ya hii kuelezwa yote. 🤣 🤣
 
Soma hapo uelewe maana ya ethnicity,maana huwenda ukawa mimi hunielewi.
Ethnicity hu comprise cultural aspects ambayo language ni moja wapo.
Ethnicity is not only about language.
Ndio maana nikakutolea mfano wa Amhara na Oromo hizi ni two tribes with the same ethnicity.
Katika language kuna masuala ya subdivision ya chimbuko halisi ya ile lugha.
Ndio maana sishangai maana elimu ya Kenya ndio inaowafundisha Olduvai ipo Kenya.View attachment 2990640
Didn't I say that ethnicity is another word for tribe? Sasa si unaona unavyojiumbua mwenyewe?
 
Back
Top Bottom