Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hiyo ubomoaji ndio umefukia watu kwenye kifusi?
Kuna ubomoaji unaendelea Mathare kwa sasa kisa nyumba nyingi zimejengwa kwa riparian land. Shida yenu huko kwenu Gorofa zipo sehemu chache sana hamuelewi ubomoaji unainvolve nini. Ubomoaji husababisha vifo sana especially sehemu za watu wenye pato ndogo. Alafu ifahamike wenye hayo majengo na wanaoishi hapo wamekana huo ubomoaji kwa hivo wengine wanawezabakia vyumbani deliberately ili kupinga ubomoaji na kujipata kwenye mkasa. Hizi hapa video za ubomoaji Mathare.


View: https://www.youtube.com/watch?v=_InVsT65r8k&pp=ygUTbWF0aGFyZSBkZW1vbGl0aW9ucw%3D%3D

View: https://www.youtube.com/watch?v=wpMH-QadV4o&pp=ygUTbWF0aGFyZSBkZW1vbGl0aW9ucw%3D%3D

View: https://www.youtube.com/watch?v=27CzfdYHg3k&pp=ygUTbWF0aGFyZSBkZW1vbGl0aW9ucw%3D%3D

View: https://www.youtube.com/watch?v=IbRthWJPnuQ&pp=ygUTbWF0aGFyZSBkZW1vbGl0aW9ucw%3D%3D
 
Ukiwafuata wote utapata saa zingine wao hupost vitu visivyo vya maana na pia vya uongo ile wetu wakipost, mnasherehekea na wenu wakipost mnatuambia eti sio wat wa kuskiza. Alafu hilo la kutopokelewa eti unasema jambo lisilo na tija? Yani Rais wenu kuwa political tourist hadi kuenda nchi ambazo anaoneshwa dharau unaona kama sio jambo la maana?
Chancellor wa Germany alienda China alipokelewa na Mayor wa Beijing na hakuwekewa carpet na alizungumza na waziri wa mambo ya nje wa China Jinping alikuja kukutana nae baadae sana.
Je hiyo nayo pia ni dharau!?
Hilo jambo sio la mantiki la kulishadadia ni upuuzi.
Jadili kilichompeleka Rais kule je kimefanikiwa!?
 
Hakujibu,kama unaona alijibu lete jibu hapa.
Either hujui kusoma ama uelewa wako ni wa mtoto wa nursery tu. Sijawai ona mtu asiye na knowledge yet anapenda kupingana na watu wenye knowledge ya hali ya juu kama wewe. Niambie ni swali gani ulimuuliza kuhusu Yoruba akashindwa kujibu nikupe screenshot ya jibu lake hapa saa hii hii alafu uniambie kama bado unaamini Yoruba ni bantu.
 
Chancellor wa Germany alienda China alipokelewa na Mayor wa Beijing na hakuwekewa carpet na alizungumza na waziri wa mambo ya nje wa China Jinping alikuja kukutana nae baadae sana.
Je hiyo nayo pia ni dharau!?
Hilo jambo sio la mantiki la kulishadadia ni upuuzi.
Jadili kilichompeleka Rais kule je kimefanikiwa!?
Umesema vizuri, alipokelewa na Mayor wa Beijing. Hakupokelewa na Balozi wa Germany pale China.
 
Either hujui kusoma ama uelewa wako ni wa mtoto wa nursery tu. Sijawai ona mtu asiye na knowledge yet anapenda kupingana na watu wenye knowledge ya hali ya juu kama wewe. Niambie ni swali gani ulimuuliza kuhusu Yoruba akashindwa kujibu nikupe screenshot ya jibu lake hapa saa hii hii alafu uniambie kama bado unaamini Yoruba ni bantu.
Nilimuuliza wanaoongea Yoruba wametoka katika ethnic group ipi katika four African ethnicity?
Chimbuko ni wapi!?
Niletee jibu alilojibu.
 
Umesema vizuri, alipokelewa na Mayor wa Beijing. Hakupokelewa na Balozi wa Germany pale China.
Chancellor ana cheo kikubwa kuliko Mayor.
Mayor na RC hawajapishana sana.
Yani sawa kiongozi mkubwa wa Ulaya aje halafu apokelewe na mkuu wa mkoa.
Bora Rais Samia alipelekwa na kuonana na Emmanuel Macron on the spot,ila Chancellor alikutana na waziri wa foreign affairs kuja kukutana na Jinping mlengwa mkuu kaja kukutana nae mwishoni kabisa.
Je hiyo imekaaje!?
 
Nilimuuliza wanaoongea Yoruba wametoka katika ethnic group ipi katika four African ethnicity?
Chimbuko ni wapi!?
Niletee jibu alilojibu.
Ndio maana nikakwambia wewe hubisha tu kisa unapenda kubisha. Husomi unachoambiwa kuelewa. Hili hapa sio jibu alilokupa?

Screenshot 2024-05-15 103847.png
 
Ndio maana nikakwambia wewe hubisha tu kisa unapenda kubisha. Husomi unachoambiwa kuelewa. Hili hapa sio jibu alilokupa?

View attachment 2990579
Huyo nilishaachoka naye. Jamaa anakazana Yoruba ni Bantu, nikaenda tu the lengths ya kumpa hadi linguistic group ya Yoruba jamaa hata hasomi kuelewa, lijamaa instead linaniuliza kuna ethnic group ngapi Afrika. Hapo hata halijakubali lilikuwa wrong. Nikachoka nalo nikaliambia litumie Google. Just like you said, he is an idiot who has too much to say. 🤣 🤣 🤣
 
Ndio maana nikakwambia wewe hubisha tu kisa unapenda kubisha. Husomi unachoambiwa kuelewa. Hili hapa sio jibu alilokupa?

View attachment 2990579
Kwa akili zako hapa amejibu!?
Umefanya mtihani ungekua unaulizwa na wewe ungejibu hivi!?
Hapo halijajibiwa swali.
Ni sawa mimi nakuuliza "which country do Jaluo come from" we unanijibu they are neither Tanzanian nor Kenyans.
Je hilo ni jibu sahihi!?
Nauliza tena Yoruba wametokea ethnicity ipi!?
Taja ethnicity waliotokea.
Nahisi Wakenya mna shida ya uelewa kichwani.
Kama sio WABANTU JE NI ETHNICITY IPI KATIKA ETHNICITY ZA AFRICA!?
👆👆👆👆
 
Huyo nilishaachoka naye. Jamaa anakazana Yoruba ni Bantu, nikaenda tu the lengths ya kumpa hadi linguistic group ya Yoruba jamaa hata hasomi kuelewa, lijamaa instead linaniuliza kuna ethnic group ngapi Afrika. Hapo hata halijakubali lilikuwa wrong. Nikachoka nalo nikaliambia litumie Google. Just like you said, he is an idiot who has too much to say. 🤣 🤣 🤣
Jamaa anakichwa kizito sana, thick skull.
 
Huyo nilishaachoka naye. Jamaa anakazana Yoruba ni Bantu, nikaenda tu the lengths ya kumpa hadi linguistic group ya Yoruba jamaa hata hasomi kuelewa, lijamaa instead linaniuliza kuna ethnic group ngapi Afrika. Hapo hata halijakubali lilikuwa wrong. Nikachoka nalo nikaliambia litumie Google. Just like you said, he is an idiot who has too much to say. 🤣 🤣 🤣
Hukujibu swali Msenge wewe.
Lete ethnic group ambayo Yoruba wanatokea.
Hukuleta.
 
Kwa akili zako hapa amejibu!?
Umefanya mtihani ungekua unaulizwa na wewe ungejibu hivi!?
Hapo halijajibiwa swali.
Ni sawa mimi nakuuliza "which country do Jaluo come from" we unanijibu they are neither Tanzanian nor Kenyans.
Je hilo ni jibu sahihi!?
Nauliza tena Yoruba wametokea ethnicity ipi!?
Taja ethnicity waliotokea.
Nahisi Wakenya mna shida ya uelewa kichwani.
Kama sio WABANTU JE NI ETHNICITY IPI KATIKA ETHNICITY ZA AFRICA!?
👆👆👆👆
Kha! kha! kha! Hivi wewe una akili wewe?
Amekwambia hapo East Kwa also called Volta-Niger na bado unabisha tu? Hivi nani kakwambia Nilotes, Cushites na Bantus ndio only linguistic group hapa Africa. Mfano mzuri ni huu,
Umeuliza ''which country does Nelson Mandela come from? Kenya or Tanzania?''
Yeye Kakujibu, ''He neither comes from Kenya or Tanzania, he comes from South Africa, also called Mzansi''.
Alafu wewe sababu unajua nchi mbili pekee Africa unainsist hajakujibu kisa hajachagua moja ya hizo nchi ulizotaja.
 
Kha! kha! kha! Hivi wewe una akili wewe?
Amekwambia hapo East Kwa also called Volta-Niger na bado unabisha tu? Hivi nani kakwambia Nilotes, Cushites na Bantus ndio only linguistic group hapa Africa. Mfano mzuri ni huu,
Umeuliza ''which country does Nelson Mandela come from? Kenya or Tanzania?''
Yeye Kakujibu, ''He neither comes from Kenya or Tanzania, he comes from South Africa, also called Mzansi''.
Alafu wewe sababu unajua nchi mbili pekee Africa unainsist hajakujibu kisa hajachagua moja ya hizo nchi ulizotaja.
Nimependa ulivyojikaza na huyo popoma. Mimi alinichosha na upumbavu wake. 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom