ndughuri msuya
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 2,064
- 3,216
fedha ya Mchina hairudi hapo,mpaka Yesu arudiMbona hii express way kila siku ina magari machache?
fedha ya Mchina hairudi hapo,mpaka Yesu arudiMbona hii express way kila siku ina magari machache?
www.dailynewsegypt.com
Lakini kwenye maelezo yake hayo ya busara kama ulivyokiri hakuishia hapo, pia alisema "Kenya is a man eat man society".Mwalimu Nyerere aliwai sema kuna mtu mjinga na mtu mpumbavu. Mwalimu alisema ujinga ni ignorance. Mjinga ni yule asiyejua na akiambiwa inakwisha. Upumbavu nao ni foolishness. Foolishness ni kipaji kama ufupi na urefu. Mpumbavu hata ufanye nini hawezi badilika. Namshukuru Mwalimu Nyerere kwa kutueleza haya mambo ya busara maanake ametusaidia kujua tunadeal na Mpumbavu hapa maanake mjinga angekuwa ashaajua baada ya hii kuelezwa yote. 🤣 🤣
Amesema ni wewe huwa mnajadiliana naye humu. 🤣Sasa amekuwa wangu tena?😂😂😂
What's your point wewe shamba boy..🤣🤣🤣🤣 msijilinganishe nasi we kima likija sualala mpira wa vilabu na muamkowa mashabiki.Tanzania kila mtu ni either wa Yanga ama Simba, very backward country 😂😂.
Kenya.
Tusker
View attachment 2990959
Shabana
View attachment 2990962
View attachment 2990963
Murang’a Seals
View attachment 2990965