Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jamaa wametuzidi Kwenye express ways
Ok karibu mgeni 🤣🤣🤣🤣
Screenshots_2024-05-12-21-56-13.png
 
Eti Azam stadium Is owned by bakhresa not by Azam FC, so Azam FC is owned by who??🤣🤣

Na mwenye aianzisha Azam stadium alinzisha kwa ajili ya kilimo au kwaajili ya Azam FC ?? Very simple 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ameskika zwazwa akiongea kauli hio kweli wakenya wameishiwa 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
 
Kenyan SGR trains =200km/h
Tanzanian SGR trains = 180km/h
Kwanza leta ushahidi treni ya Kenya ilishawah fika 200km/HR elewa Neno ushahidi ambayo speed meter ilifika 200

La pili 470km inatumia Saa sita haya hebu tuambie hua munatumia mahesabu gani??? Yani ni very very simple wala haitaji kutumia ramli🤣🤣🤣
 
Simple Tofauti ya Diesel Train and Electric Train.

1. Diesel Train use imported fuel. So you need to buy fuel from foreign country in USD. But Electric Train you just Tap Electricity from a national grid. The Electricity generated from Hydro power. So you buy electricity in TSH.

2. Diesel trains zipo na kelele sana, but electric train do not.

Na zingine nyingi.
 
Simple Tofauti ya Diesel Train and Electric Train.

1. Diesel Train use imported fuel. So you need to buy fuel from foreign country in USD. But Electric Train you just Tap Electricity from a national grid. The Electricity generated from Hydro power. So you buy electricity in TSH.

2. Diesel trains zipo na kelele sana, but electric train do not.

Na zingine nyingi.
Diesel train is costly to maintain while electric train is cheap

Diesel train is expensive while electric train is cheap

Diesel train pollute environment while electric train is environmental friendly
 
Back
Top Bottom