Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The Capital

1715496459293.jpeg
 
Mobilization gani na mlishapata constructor? Ama pesa ndio hamna?😂😂
Contractor akipatikana hupewa muda wa kuagiza vifaa na kuvileta site kwani ni kipi wewe hujaelewa hapo? Procurement system yetu iko vizuri sana usifananishe na yenu.
 
Contractor akipatikana hupewa muda wa kuagiza vifaa na kuvileta site kwani ni kipi wewe hujaelewa hapo? Procurement system yetu iko vizuri sana usifananishe na yenu.
Fala huyo, tufanye miradi mikubwa yenye thamani kuliko thamani za miradi yote inayofanyika East and central Africa alafu tushindwe kujenga uwanja? Au anafikiri sisi tunajiandaa na Afcon kwa pesa za mchina kama wao 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom