Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,946
- 34,994
Hapo ndio nyuma ya zile ghorofa 2 za victoria 😀😀,naipori surrounded with slums 😂Nini ipo nyuma ya hizi ghorofa mbili? 🤣🤣🤣🤣
Hapo ndio nyuma ya zile ghorofa 2 za victoria 😀😀,naipori surrounded with slums 😂Nini ipo nyuma ya hizi ghorofa mbili? 🤣🤣🤣🤣
Nadhani Una hoja!... Kila nikiangalia production list na deliveries za Boeing kwa ndege aina ya B737 B787 nimegundua kuwa wanakarabati ndege zao kongwe, wanazipaka rangi et voilà .....Niliwaambia mlinunua second hand planes mkapinga😂😂
Hii ya france route inawaleta wacomoro na wacongo transit JNIA
Na Terminal II inafanyiwa marekebisho. Air Tanzania itawabemba from JNIA kwenda kwao.Hii ya france route inawaleta wacomoro na wacongo transit JNIA
Waulize CAF na Gor mahia😅😅😅😅Wewe hayo ukayatoa wapi!? Kwa CCM ama!?
Unaongea hvo huku roho inakuuma sana😅😅Mimi nikija Tz kama tu ilivyo kuwa Ethiopia, siwezi panda hizo Bureti traini zenu manake hujui msitu upi mtagwama umeme ukikatika. Mambo ya kusafiri roho mkononi ndo hayo. Kwanza maswala ya umeme Tanzania yalivyo!? Janga hilo!
Kaongea kwa uchungu kumbe hua Wanaumia Sana mwambie mwisho wa mwezi huu dreamliner nyingine mpya inaingia ili kama anataka kukataa roho asubiri Kwanza aione dreamliner 😅😅😅😅Its unfortunate kwamba A223 zote duniani zina face similar issue hamna aliyeplan iwe hvyo , na walichagua kufua company so waishie kati kati ?
kati ya hizo 5 3 ni A223
1 ni Q300 yenye miaka 25
na hyo 787
Labda wanadhani tunatumia ungo Kusafirisha abiria 😅😅😅😅😅😅Jamaa wanadhani tunatania. Hiyo taarifa ya gazeti inatakiwa kuwa verified. Mashangaa safari za China na India zinaendelea. Ndege gani inaelekea huko?
Au sio unafkiri ndege ni kama train hzi ambazo zilikuwepo world war 1 😅😅😅😅Nadhani Una hoja!... Kila nikiangalia production list na deliveries za Boeing kwa ndege aina ya B737 B787 nimegundua kuwa wanakarabati ndege zao kongwe, wanazipaka rangi et voilà .....
Tanzania Serikali nzima na wachungaji wa roho wanakusanyika uwanja wa ndege kufanya sherehe eti wanapokea ndege mpya! 😲
Kitu kipya unatengeneza mwenyewe bwana alaaa! 🤓
Nilijua ukweli utatoklezea.🤣Nadhani Una hoja!... Kila nikiangalia production list na deliveries za Boeing kwa ndege aina ya B737 B787 nimegundua kuwa wanakarabati ndege zao kongwe, wanazipaka rangi et voilà .....
Tanzania Serikali nzima na wachungaji wa roho wanakusanyika uwanja wa ndege kufanya sherehe eti wanapokea ndege mpya! 😲
Kitu kipya unatengeneza mwenyewe bwana alaaa! 🤓
🤣 🤣 🤣 Leo hujaweka Background ya Mt. Kilimanjaro. Naona maneno yetu yameanza kukuingia vilivyo. Asante kwa kutii Amri yetu halali.
Wakenya mbona mmegeuka majokers? Hii battle imekuwa ya kipumbavu kwa sasa mana utoto ni mwingi sn, hivi ni kweli kabisa tunashindana kuhusu diesel SGR vs electrified SGR?6 Hours because our SGR PASSES THROUGH VERY BEAUTIFUL SCENERY 1.Inapitia game parks. Passengers always want to enjoy the beauty. So they are taken to 120Km/Hr.
2. We have very beautiful stations in picturesque zones that passengers normally stop for some adventure.
OR else our SGR normally goes to above 150Km/Hr in some sections. In fact some goes beyond 200Km/hr in sections with less interest.