Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 3,039
- 8,170
Najua Boeing zinachangamoto mbali mbali ila 787s zimekuwa stable , most of airlines hata African Airlines wanatumia ET ,KQ ,Nimelalamika sana hapa kwa miaka 3 sasa, kuhusu ATCL kuendelea kununua hizi ndege za Boeing.
Hata Europeans air France , KLM wote wanatumia so 787s nyingi ziko hewani,
Shida ya Air Tanzania kubwa ni kumilikiwa na TGFA ambayo inachelewesha hata maintance , repairs etc
Mbona tuna Airbus A220s na zenyewe zina shida hyo hyo , utasema ni boeing , ingawa tatizo la airbus A220 ni worldwide , but kwetu Ndege zetu zimechelewa kurudi