ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Ndege walinunua mitumba ๐๐๐2018, Grounded for 7 months in 2023!? After being bought at what??? No wonder shirika lipo kwenye mwendo wa Hasara!!
Lol!Sio 1.5 million tena, wewe na Mgagaa na Upwa muelewane kwanza ni 1.5 ama 2.5 manake kuna tofauti kubwa.
Hio stadium ina standard na technology zote ambazo hakuna hata stadium yenu moja inayo ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ na inatambulika na CAF
View: https://twitter.com/CoachCalito/status/1680864781849305089?t=ESYoHp3yukQaHI-5RtPnog&s=19
View: https://twitter.com/kinjeketile/status/1596942931411496961?t=-idEhiGQ3qJ5qg1qdMEzeQ&s=19
Eti average speed faida yake ni nn SASA?? Ikiwa haina economic reason haina tofaut na bus mashcool au tahmeed ๐ ๐ ๐
Kwani aliekwambia Tanzania hautasimama kwenye kila kituo ni Nani ?? SGR gani ambayo mpaka Leo haijawah kuzalisha faida inatafuna pesa za taxpayer's na madeni kila Kona ya mchina, alikubali SGR yenu mchunguzeni vzr kuna fuse moja imekata Moto ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
Kumekauka?
Najua unatamani kunijibu, just answer me directly juu hakuna mwenye atakuchapa๐๐ATCL says the plane was taken for mandatory maintenance in Nov 2023 SASA nashangaa MTU anauliza swali na kila kitu kipo clear ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
View attachment 2987276
Leo inaonekana huna kazi. Tangu asubuhi umeshinda humu jukwaani ukizambaza ushuzi mtupu. Sasa nenda ukalale๐๐Najua unatamani kunijibu, just answer me directly juu hakuna mwenye atakuchapa๐๐
Today is an holiday. Itabidi mnivumilie hadi Sunday ๐๐๐Leo inaonekana huna kazi. Tangu asubuhi umeshinda humu jukwaani ukizambaza ushuzi mtupu. Sasa nenda ukalale๐๐
Leo niko na wewe hadi ulale. Kwani ngoma ya watoto haikeshi.๐๐Today is an holiday. Itabidi mnivumilie hadi Sunday ๐๐๐
Nimelalamika sana hapa kwa miaka 3 sasa, kuhusu ATCL kuendelea kununua hizi ndege za Boeing.ATCL says the plane was taken for mandatory maintenance in Nov 2023 SASA nashangaa MTU anauliza swali na kila kitu kipo clear ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
View attachment 2987276
Naona mwisho umejichokea na umeamua kulala. Ngoma ya watoto haikeshi.๐Today is an holiday. Itabidi mnivumilie hadi Sunday ๐๐๐
Msimamo wa Tzn uko wazi,tunaunga mkono Palestine ๐๐
View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1789040227668906440?t=w8O5KToHUWxaCBwF6APo7g&s=19
๐๐๐๐จ Mpumbavu wa kwanza atakuwa ni Nyerere aliyetimua Hadi Balozi wa Mashoga/RC hapa Tanzania akiwa Rais.Mpumbavu na anaendeshwa na imani za kimakobaz na mvaa ushungi wake.