Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hio stadium ina standard na technology zote ambazo hakuna hata stadium yenu moja inayo πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… na inatambulika na CAF

View: https://twitter.com/CoachCalito/status/1680864781849305089?t=ESYoHp3yukQaHI-5RtPnog&s=19

View: https://twitter.com/kinjeketile/status/1596942931411496961?t=-idEhiGQ3qJ5qg1qdMEzeQ&s=19



Eti average speed faida yake ni nn SASA?? Ikiwa haina economic reason haina tofaut na bus mashcool au tahmeed πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Kwani aliekwambia Tanzania hautasimama kwenye kila kituo ni Nani ?? SGR gani ambayo mpaka Leo haijawah kuzalisha faida inatafuna pesa za taxpayer's na madeni kila Kona ya mchina, alikubali SGR yenu mchunguzeni vzr kuna fuse moja imekata Moto πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Mimi nikija Tz kama tu ilivyo kuwa Ethiopia, siwezi panda hizo Bureti traini zenu manake hujui msitu upi mtagwama umeme ukikatika. Mambo ya kusafiri roho mkononi ndo hayo. Kwanza maswala ya umeme Tanzania yalivyo!? Janga hilo!
 
Beautiful Nairobi
Screenshot_2024-05-10-20-50-41-58_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg

Screenshot_2024-05-10-20-50-53-95_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
 
ATCL says the plane was taken for mandatory maintenance in Nov 2023 SASA nashangaa MTU anauliza swali na kila kitu kipo clear πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
View attachment 2987276
Najua unatamani kunijibu, just answer me directly juu hakuna mwenye atakuchapaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
ATCL says the plane was taken for mandatory maintenance in Nov 2023 SASA nashangaa MTU anauliza swali na kila kitu kipo clear πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
View attachment 2987276
Nimelalamika sana hapa kwa miaka 3 sasa, kuhusu ATCL kuendelea kununua hizi ndege za Boeing.
 
Mpumbavu na anaendeshwa na imani za kimakobaz na mvaa ushungi wake.
πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ”¨ Mpumbavu wa kwanza atakuwa ni Nyerere aliyetimua Hadi Balozi wa Mashoga/RC hapa Tanzania akiwa Rais.

View: https://twitter.com/HistoriaYetu/status/1711708281310183613?t=P4s6XgfWPbETv__Di5WBqg&s=19

My Take :We Nyumbu na hater wa Samia acha kutapatapa πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://twitter.com/HistoriaYetu/status/1710617621626843377?t=m0JERyoYtT9RcFBMlVrWHA&s=19
 
Back
Top Bottom