Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Is this a grazing field or a maize garden?
Ikiwa Kenya hakuna hio Uganda utapata wapi 😅😅😅😅😅😅😅
Ila wachina kiboko 🔥🔥🔥🙌🙌🙌
View: https://twitter.com/ikulumawasliano/status/1788478188529832381?s=19
Their official X accountNarudia kukwambia official howo truck assembly plant iko Tanzania 40units a day KAZI kwako SASA uumie au ukubaliane na ukweli 😅😅😅😅😅😅😅
Is this assembly plant ?? Hvi nyinyi akili zenu ziko sawasawa ??😅😅😅😅😅😅
Ndio mkajenga stadium ikiwa Trapezium. Hivi wewe hujui kitu huitwa average Speed!? Muda wote na wa mapumziko upo hapo. Train husimama, Mariakani, Miesenyi, Voi, Mtito Andei, Emali, Kibwezi, Athi River kabla Kufika Nairobi. Kwa hali tu ya kuwafurahisha wasafiri. Kama sio watu wa kutafuta Likes, SGR Kenya imekubaliwa na wengi ambao wamesafiria 9.5 out of 10Rudi kwenye topic Kwanza nipe tofaut ya economic sense ya bus na SGR difference ya 1hr 😅😅😅😅😅 na still SGR iko outside the city ni lazma utafute usafiri 30min again to town
Piga mahesabu uone je nikweli 470km unaenda 6 hrs with 120 speed au ??😅😅
Nani Hana modern and beautiful terminals au unadhani dunia inazunguka Kenya pekee
Huwez kwenda 200km/HR alaf ukatumia 6hrs kwa 470km unless akili yako iwe inafanya mahesabu ya 1+1= 11😅😅😅😅😅
2018, Grounded for 7 months in 2023!? After being bought at what??? No wonder shirika lipo kwenye mwendo wa Hasara!!ATCL says the plane was taken for mandatory maintenance in Nov 2023 SASA nashangaa MTU anauliza swali na kila kitu kipo clear 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
View attachment 2987276
Hio stadium ina standard na technology zote ambazo hakuna hata stadium yenu moja inayo 😅😅😅😅😅😅😅😅 na inatambulika na CAFNdio mkajenga stadium ikiwa Trapezium. Hivi wewe hujui kitu huitwa average Speed!? Muda wote na wa mapumziko upo hapo. Train husimama, Mariakani, Miesenyi, Voi, Mtito Andei, Emali, Kibwezi, Athi River kabla Kufika Nairobi. Kwa hali tu ya kuwafurahisha wasafiri. Kama sio watu wa kutafuta Likes, SGR Kenya imekubaliwa na wengi ambao wamesafiria 9.5 out of 10
Hata kama ni wewe ungetaka mbio za nini mahala kama hapa!?
View attachment 2987279View attachment 2987280View attachment 2987281
Wacha kutuletea story za abunwasi pesa za kulipa madaktari hamuna, pesa za kuondoa watu kwenye slums watu wanaishi kama nguruwe pia hamuna itakua mambo ya rocket 😅😅😅😅Elon Musk akianza hizo zake pia alichekelewa tu hivo. Sahi kidogo ataland on Mars
Kashaeleza ni mandatory maintenance hapo bado unataka nn?? Zilienda mbili mbona moja ilirudi na inapiga kazi, 😅😅😅2018, Grounded for 7 months in 2023!? After being bought at what??? No wonder shirika lipo kwenye mwendo wa Hasara!!
Waliachia after 2 days kwani huna habari😅😅Kuna moja ilishikwa sijui ni SA ama wapi kwa miezi. Nadhani wakulima wahuko walikua na shughuli nayo!? Ama vipi. Kuna vipindi huko Bongo kweli!! 🤣🤣🤣🤣🤣👌
Hio stadium ina standard na technology zote ambazo hakuna hata stadium yenu moja inayo 😅😅😅😅😅😅😅😅 na inatambulika na CAF
View: https://twitter.com/CoachCalito/status/1680864781849305089?t=ESYoHp3yukQaHI-5RtPnog&s=19
View: https://twitter.com/kinjeketile/status/1596942931411496961?t=-idEhiGQ3qJ5qg1qdMEzeQ&s=19
Eti average speed faida yake ni nn SASA?? Ikiwa haina economic reason haina tofaut na bus mashcool au tahmeed 😅😅😅
Kwani aliekwambia Tanzania hautasimama kwenye kila kituo ni Nani ?? SGR gani ambayo mpaka Leo haijawah kuzalisha faida inatafuna pesa za taxpayer's na madeni kila Kona ya mchina, alikubali SGR yenu mchunguzeni vzr kuna fuse moja imekata Moto 😅😅😅😅😅
Aah bana wee. Za ovyo utaacha.Kashaeleza ni mandatory maintenance hapo bado unataka nn?? Zilienda mbili mbona moja ilirudi na inapiga kazi, 😅😅😅
Munajipa presha za bure
Kukojoa ntakojoa lakini ujue, muda tutawauzia Nakuja 10.1 Missiles. Made in KenyaWacha kutuletea story za abunwasi pesa za kulipa madaktari hamuna, pesa za kuondoa watu kwenye slums watu wanaishi kama nguruwe pia hamuna itakua mambo ya rocket 😅😅😅😅
Kama ni ndoto basi amka uende chooni ukakojoe
🤣🤣🤣🤣🤣Screenshot yake mwenyewe inasema Kenyas Dominance. View attachment 2987171
Kilaza unataka uwekewe evidence mara ngapi? Ubishi za kijinga sana hiziLakini Kenya hakuna plant ya hivyo ndiyo au sio 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣