Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani wewe kichaa mtu akisoma comment anakuona kichaa haswaa, kwnn unapenda kujifariji kwenye hamna namna hii, zile zama zenu mlizokuwa mnaichafua Tanzania alafu watanzania wamekaa kimya zishapita, learn how to live with time, now kuna watanzania wenye exposure kuliko wakenya, usipoteze muda wako kizembe hivii.
Peleka hasira zako mbali. Hapa imeandikwa vizuri hati from March to 9th May hiyo kampuni imeunganisha tu gari 150. That’s like 2 lories per day😂😂

IMG_0213.jpeg
 
Huna akili ndege zinatoka boeing kwenyewe kiwandani unasema used 😅😅😅😅
Basi how come ndege mpya is being grounded for 7 seven months? Nyinyi mlinunua refurbished planes😂😂😂
 
2 trucks a day production ndio tunapigiwa nayo kelele😂😂😂

IMG_0213.jpeg
 
Yani huyu myemen hawezifanya hata basic research kabla ya kutokwa na povu! Yani hajui Howo wanafanya assembling Rwanda na Uganda?

Wewe myemeni, tangu lini Uganda ikatolewa kuwa part of East Africa?
Lakini Kenya hakuna plant ya hivyo ndiyo au sio 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom