ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,250
Utasikia shujaa kafanya ๐๐๐๐๐
View: https://www.instagram.com/p/C6dZloBtTv8/?igsh=aTc1eWE0bzVubnZ5
View: https://www.instagram.com/p/C6dZloBtTv8/?igsh=aTc1eWE0bzVubnZ5
Under pass yenye maduka .? ๐๐ anyways underground shopping is common in kariakoo. Almost majengo yote mapya utapata yako na under ground shopsMkoa wa Songwe TanRoads wanajenga underpass ambayo itakuwa na maduka kabisa huko ground ๐ฅ๐ฅ
Bei za madini ya almasi na vito soma maelezo yake hapo nilipozungushia nyekundu.
Pia nahisi hayo maelezo umesoma vibaya.
Gemstone zimegawanyika kwa namna mbili.
Kuna cabscion na kuna yenye thamani.
Yanayouzwa kwa makilo ndio yamewekwa katika hiyo orodha.
Kama vile garnet,rhodolite na cabscion zingine.
Huwezi ukakuta almasi,ruby ama emerald zikawekwa hapo katika makilo.
Kwasababu is very rarely to get grade A either diamond ora Ruby or emerald.
Maelezo ya tume ya madini 2024.
View attachment 2978665
Ndio hiyo Sasa ,ni underpass na itakuwa na frame kabisa ,kama hutaki subiria ikamilike nitakuletea pichaUnder pass yenye maduka .? ๐๐ anyways underground shopping is common in kariakoo. Almost majengo yote mapya utapata yako na under ground shops
Lakini ilifikia aje hadi such a stadium ikuwe approved by CAF???... Teargas , NairobiWalker Kujeni hapa kwa kikao..
View attachment 2978871
Hii ni moja ya mechi imechezwa Jana chamanzi na imeisha Saa nne na nusu usikuLakini ilifikia aje hadi such a stadium ikuwe approved by CAF???... Teargas , NairobiWalker Kujeni hapa kwa kikao..
View attachment 2978871
Naona unajipendekeza na rejesta za bongo. ๐คฃ๐คฃHapo CAF kuna walaji wa Mlungula ajab. Yani hiki kidude kiwe approved na Namboole, Nakivubo, Amahoro, Nyayo zisiwe approved? Hapa kuna corruption ajabu. Kumbuka hata pale FIFA kumekuwa na cases za corruption nyingi sana alafu hiyo Azam inamilikiwa na mtu binafsi. Hapo kutoa mlungula ni rahisi sana.
CAF IS just piece of shit...corrupt to the coreLakini ilifikia aje hadi such a stadium ikuwe approved by CAF???... Teargas , NairobiWalker Kujeni hapa kwa kikao..
View attachment 2978871
Kwann Nyayo stadium inafanyiwa renovation mara ya pili ??๐ ๐ ๐ ๐ ๐ Unajua sababu lakiniCAF IS just piece of shit...corrupt to the core
Naoma hii forum imekusaidia sana kwenye kiswahili ๐คฃ๐คฃ๐คฃHapo CAF kuna walaji wa Mlungula ajab. Yani hiki kidude kiwe approved na Namboole, Nakivubo, Amahoro, Nyayo zisiwe approved? Hapa kuna corruption ajabu. Kumbuka hata pale FIFA kumekuwa na cases za corruption nyingi sana alafu hiyo Azam inamilikiwa na mtu binafsi. Hapo kutoa mlungula ni rahisi sana.
Wao ndo mabingwa wa mlungula ukanda huu, inakuaje CAF ikakataa mlungula kutoka kwao! ๐๐๐Naona unajipendekeza na rejesta za bongo. ๐คฃ๐คฃ
Wi aa blaki amerikanz ๐๐๐
View: https://twitter.com/_Josh254/status/1785913402260369699?t=mLcXdpRWb1AKJo_x1fXuDg&s=19
View: https://twitter.com/jwahinya/status/1785931084728852882?t=368QdNgomKzW9qe65UHtww&s=19
View: https://twitter.com/sommewan/status/1785916974641422823?t=mbjobE-HK8dGfSgrhN2pkw&s=19
View: https://twitter.com/SitieneiAgui/status/1785907394431570214?t=uXMnHuHitka3YV9gww1KRQ&s=19
View: https://twitter.com/RaswilliEms69/status/1785905226232287631?t=q249LHvgN_r76dMVqx2Xjw&s=19