Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
Tume imeweka Mapato,iweje Madini yenye Mapato makubwa unavyodai wewe(germstone) na Yana kilo nyingi yazalishe Mapato kidogo? 😂😂Zichambue hizo takwimu.
Pia nakupa msisitizo maelezo ya tume ya madini hayajaweka bei ilekezi ya gemstone.
Jiulize kwa nini!?
Soma hiyo ripoti vizuri bei elekezi ya madini yote imewekwa,kwa nini almasi na gemstone wamesema itapimwa kulingana na mng'aro na ubora!?
Umejiuliza kwa nini!?
Naomba nikuache hapo mkuu.View attachment 2978693
Mzee hebu endelea na jukumu lako la kuitangaza mbeya. Mambo mengine wewe ni mweupe. Usilazimishe mambo.Tume imeweka Mapato,iweje Madini yenye Mapato makubwa unavyodai wewe(germstone) na Yana kilo nyingi yazalishe Mapato kidogo? 😂😂
Acha kupoteza muda wako mkuu,huyo unaejitahidi kumuelewesha ni chizi so ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa,akuelewi kamwe😂😂😂😂😂Aiseee kwa akili hizi huu mjadala haukufai.
Kwa nini unadai gemstone ni valueless!?
-Almasi 1 carat ni $ 15,000.
-Ruby 1 carat ni $ 12,000.
-Saphire 1 carat ni $ 4,000.
-Tourmaline 1 carat ni $ 900-1,200.
Carat ni nusu gram.
Embu chukua hizo fedha badili kwa Tanzanian shillings.
Ilhali dhahabu carat 2/1 gram ni $ 58-70.
Pimia hapo.
Watchman mambo vipi? Taa kama hizi utapata kwa stadium gani Tanzania?😂😂😂Taa ziko wapi? Siku ligi ya Kenya ikichezwa usiku njoo tuzungumze.
I don’t know who lied to Tanzanian that Kenyan stadiums have no lights😂😂Taa ziko wapi? Siku ligi ya Kenya ikichezwa usiku njoo tuzungumze.
Weka highest bei ya Dhahabu kama ilivyokuwa bei ya ruby.
Mwisho mbona hutaki takwimu za Wizara ya Madini inakomaa na habari za kuokoteza?
Mkuu ninakupa maelezo ya mwisho.Tume imeweka Mapato,iweje Madini yenye Mapato makubwa unavyodai wewe(germstone) na Yana kilo nyingi yazalishe Mapato kidogo? 😂😂
Onesha ligi ya Kenya ikichezwa usiku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
This thing is not CAF approved. Where are the seats? Where are the permanent stands here.Sasa unapojichekesha chekesha ukisema CAF standard je co kweli? Utake usitake timu zenu lazima zije Tanzania kucheza mechi za CAF mana kwenu hakuna uwanja uliokidhi vigezo hata ukilia haisaidii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ebu tuonyeshe report ya CAF wakipea Azam hadhi 😂😂😂.Ulivyo haya hauna ukachukua pic za Azam complex za zamani ukazileta hapa.
Sifa za uwanja wa Azam mpaka ukapewa hadhi na CAF/FIFA.
1)Viwanja vizuri vya mazoezi.
2)Pitch nzuri ya kuchezea mpira.
3)Mabench mazuri ya ufundi.
4)Vyumba vizuri vya kubadilishia nguo.
5)V.A.R.
6)Taa kubwa,nzuri na za kisasa kwaajili ya mechi za usiku.
Je Kisirani stadium inazo hizo sifa!?
Haya Lia vzr SASA 😂😂😂Ebu tuonyeshe report ya CAF wakipea Azam hadhi 😂😂😂.
Azam has no training ground, players are training on the same pitch that matches are being played.
Bench ya Azam cannot accommodate 14 people which is the CAF minimum bench number.
Azam changing rooms are pathetic, that’s why you don’t want to post them here.
Taa ziko kwa kila Stadium huku Kenya😂😂
report ya nini wakati Gor Mahia walikataliwa kutumia kiwanja chochote Kundustan as all are substandards not meeting their criteria!Ebu tuonyeshe report ya CAF wakipea Azam hadhi 😂😂😂.
Azam has no training ground, players are training on the same pitch that matches are being played.
Bench ya Azam cannot accommodate 14 people which is the CAF minimum bench number.
Azam changing rooms are pathetic, that’s why you don’t want to post them here.
Taa ziko kwa kila Stadium huku Kenya😂😂
Hizo taa hazina standard ya CAF wala FIFAWatchman mambo vipi? Taa kama hizi utapata kwa stadium gani Tanzania?😂😂😂
![]()
JKIA tuu sehemu nyeti inakosa umeme ndio mtakuwa nao kwenye leisure?I don’t know who lied to Tanzanian that Kenyan stadiums have no lights😂😂
![]()
Halafu umeona hizo nyasi zilivyo ndio mnataka mcheze champions league hapo 🤣🤣🤣I don’t know who lied to Tanzanian that Kenyan stadiums have no lights😂😂
![]()
Sisi tumesahau wao ndio wamekuwa na new normal.
View: https://twitter.com/DavidNdii/status/1785576020826902629?t=UiZrNbvuRdznH2-BCCtGZQ&s=19
Sawa Rudisha credit Kwa SSHMkuu ninakupa maelezo ya mwisho.
Katika jedwari lako la mapato kuna sehemu ya vito na sehemu ya Tanzanite.
Kwa nini wameweka sehemu ya vito na Tanzanite?
Kwani Tanzanite siyo sehemu ya vito!?
Vito vimegawanyika kwa katika makundi mawili.
1)Gemstone as gemstone mathalan garnet,rhodolite na amethyst.
Haya ni yenye thamani ndogo hivyo hupimwa kwa makilo.
Lazima uwe na kilo ndio uuze.Mathalan amethyst kilo moja ni $ 200.
2)Kundi la Almasi(almasi,tanzanite,ruby,emerald,sapphire),hivi ni vito vinapimwa kwa carat/0.2 gram na ni vito vyenye thamani ulimwenguni kwa sababu tatu.
-Hung'ara sana kupitiliza.
-Yako rigid.
-Magumu kuyapata tena saanaa.
Hizi huwezi kukuta zikawekwa group moja na vito vingine.Ndio maana hata katika ripoti yako kuna mapato ya vito na Tanzanite.
Na mind you unaweza pambana miaka kumi kuchimba gram 10 tu za almasi na ukazikosa.
Tuje katika hesabu za mwisho,maana umeniambia nikokotoe basi nimekusaidia kukokotoa.
Rekodi kubwa hapo ya mapato ni dhahabu ya Lindi yenye uzito wa gramu 146,884.25 ambayo imeleta mapato ya bilioni 21.599.
Tanzanite ya rekodi kubwa ni ya carat 9,793 sawa na gramu 1958,ikaleta mapato ya bilioni 2.121.
Hivyo tungesema tuuze Tanzanite gram sawa na za dhahabu ya Lindi inamaa tuchukue gram 1958 tukiiingiza kwa gram 146,884 inaingia mara 700+.
Bimaana kwa thamani hiyo hiyo Tanzanite ingetuingizia Trilion 1.44 recurring decimal.
Nani angekua kaingiza pesa nyingi!?
Uwe na asubuhi njema mkuu.
Fanya conversion acha porojo wewe.Mzee hebu endelea na jukumu lako la kuitangaza mbeya. Mambo mengine wewe ni mweupe. Usilazimishe mambo.
Also gemstones hazipimwi kwa kilo.