Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Population.. Nawapea lkn soon 2tawapita
Wakati mnahamia mjini.. Na sie tinahamia.. Wakati mnazaana.. Huku ndio hatari tukishiba tu tunazaa.. Sikia kwa idadi ya watu ni zoezi LA kitaalamu

Kwa sasa Mwanza ita-takeof ikishatangulia kuizidi itakuwa ndoto... Ni kama kwenu hakuna mji in between Mombasa na Nairobi utakuja kukua kuzidi hiyo miji miwili. Kwasababu ni suala LA kisayansi.
 
Hapa ni Nairobi vs Dsm wewe unaleta figures za Tz vs Kenya. Hukuweza hata kuelewa hilo jambo dogo?

Kuna kitu serikali ya hapo Tz inabidi kufanya ili kuboresha elimu na uelewa wa watu kama wewe.
Ndio maana kuna mwenzio alisema nairobi Gdp is 40 nikamuuliza swali inamaana 15 iliobakia ndio imegawanywa sehemu zote kenya iliobakia, maana ni akili ndogo itunike😀😀😀
 
efd6ca2b758aa917317e9d31163b6ee3.jpg
. 22 floor.
 
Wakati mnahamia mjini.. Na sie tinahamia.. Wakati mnazaana.. Huku ndio hatari tukishiba tu tunazaa.. Sikia kwa idadi ya watu ni zoezi LA kitaalamu

Kwa sasa Mwanza ita-takeof ikishatangulia kuizidi itakuwa ndoto... Ni kama kwenu hakuna mji in between Mombasa na Nairobi utakuja kukua kuzidi hiyo miji miwili. Kwasababu ni suala LA kisayansi.
Iyo.....unaota.........ngoja 2030
 
N.iliask Mtz mmoja ..bona kukam kuishi..Kenya......ati ..ananishow..ati juu. Yaa pesa.....yah.kenya iko juu..sasa auze mayai for 1 year Alafu arudi tz akabwage...mapesaa..........ma254 c.iyo..niushamba....na slaveless
Kenya watu tumeshatemebea sana usifkiri tunaongea mawazo ya ndotoni, na tumeona vile maisha ni magumu hayana mfano huku chakula kikiwa na gharama ya juu kuliko kitu chochote, kwa kifupi umaskini ulioko kenya ni mkali sana kuliko wowote ndan ya ukanda wa Ea
 
Back
Top Bottom