Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hawa ndio watanzania walio na ardhi yao na utajiri wao..Pwahahaha..this pic though
1bfe614318ca3ff04fbad7bf4dd7b2a6.jpg
2d9eb3de01fb1973987127963fc0cead.jpg
Kama kweli wewe Unaakili kichwani
Jiulize nyuma ya hao watoto kuna nyumba zipi
Unaweza linganisha Hizo nyumba na Zile za Kibera!!?

Kama Hauna Matatizo kichwani kweli mtoto kama huyo anaweza miliki Ardh au Nyumba!!
 
unajua kila mtu anaweza kupayuka payuka...leta picha zizungumze...sio ujinga wako hapa...kula hii kwanza ushibe...mji wa Mombasa...mji wa pili....mji wenu wa pili naskia ni Mwanza...pwahahaha
w4sd.jpg
Marina again😀😀😀😀
 
leta picha za Mwanza ndugu...😀😀😀 mji wenu wa Pili..pwahahaha
Mwanza watapost wadau bana,aki mombasa ni mji mkongwe kweli panafaa kwa tourism izo nyumba kama hazikujengwa 1800's sijui
 
Back
Top Bottom