Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Over 400k Dodoma, Arusha, Mbeya
300k- 400k Morogoro, Tanga, Kahama
200k- 300k Kigoma, Zanzibar, Sumbawanga, Songea, Moshi
100k- 200k Musoma, Bukoba, Shinyanga, Iringa, Kibaha, Mtwara, Bukoba nk.

Nipe population ya Nakuru.
Nakuru pu.....600000.......county. ..1.7m
 
Tukiweka ushabiki pembeni kwa mipango iliopo mezani Nadhani soon tunaweza kua na miji mikubwa miwili ukanda huu yenye heshima isioyakinafiki kimataifa!!
Gani....izo......juu....including... Msa.Kampala.na kigali
 
Kwa mkoa wote wa Morogoro population yake ni 2,218,492
 
Tatizo lako wewe bado ni mshamba. Nakuru ipo na population ya watu 307,990 wakati Morogoro Tanzania ni 315,866.
Sasa nakushangaa unapiga domo tu hapa. Huna uwezo wa kujadili na sisi wewe. Bado wewe ni mdogo sana.
Iyo ni 2007....acha upuzi
 
Nakuru pu.....600000.......county. ..1.7m
Are you sure?! Au unadhani wote hapa watoto?! I have worked on a designing project in north kenya..turkana. So I know kenya statistics... Maana mnatuletea nyie wenyewe...

We did receive a delegate from Kiambu County looking for investment 2years back and they did provide us with enough statistics,.

Hiyo Nakuru hata 250k sijui kama inafika.. Let alone 600k.. Kama unataka tuhadiliane acha kuniletea uongo.. I hate that.. Maana unaniona mtoto..na kwa mtu mzima hilo ni tusi.
 
Population ya Counties za Kenya
upload_2017-12-3_10-40-26.png


Source: Nakuru - Kenya National Bureau of Statistics
Page ya mwisho mwisho.
 
Are you sure?! Au unadhani wote hapa watoto?! I have worked on a designing project in north kenya..turkana. So I know kenya statistics... Maana mnatuletea nyie wenyewe...

We did receive a delegate from Kiambu County looking for investment 2years back and they did provide us with enough statistics,.

Hiyo Nakuru hata 250k sijui kama inafika.. Let alone 600k.. Kama unataka tuhadiliane acha kuniletea uongo.. I hate that.. Maana unaniona mtoto..na kwa mtu mzima hilo ni tusi.
Ati. 250k....argue with facts jamaa
 
Back
Top Bottom