Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

efd6ca2b758aa917317e9d31163b6ee3.jpg
. 22 floor.
20 uongo ni jadi yenu
 
Kenya watu tumeshatemebea sana usifkiri tunaongea mawazo ya ndotoni, na tumeona vile maisha ni magumu hayana mfano huku chakula kikiwa na gharama ya juu kuliko kitu chochote, kwa kifupi umaskini ulioko kenya ni mkali sana kuliko wowote ndan ya ukanda wa Ea
We ujijui...hapa...mombasa. Kumejaa..chokara watz....walilemewa maisha tz ati wanacome msa juu...yah value yah pesa kwanza wamejaa mbaraki na changamwe .......wacha2taenda kuwashtaki kwa joho
 
We ujijui...hapa...mombasa. Kumejaa..chokara watz....walilemewa maisha tz ati wanacome msa juu...yah value yah pesa kwanza wamejaa mbaraki na changamwe .......wacha2taenda kuwashtaki kwa joho
Wewe utakuwa ni mduruma tu
 
We ujijui...hapa...mombasa. Kumejaa..chokara watz....walilemewa maisha tz ati wanacome msa juu...yah value yah pesa kwanza wamejaa mbaraki na changamwe .......wacha2taenda kuwashtaki kwa joho
Hvi tukianza kuwakusanya wakenya walioko tz wanaokuja kutafuta maisha tena bila passport ni wengi sana na kipindi cha kikwete mlijazana sana huku ila alivoingia magufuli akaanza kuwarudisha kwenu sio nyie tu hata wa ethiopia wanakamatwa kila siku😀😀
 
Hvi tukianza kuwakusanya wakenya walioko tz wanaokuja kutafuta maisha tena bila passport ni wengi sana na kipindi cha kikwete mlijazana sana huku ila alivoingia magufuli akaanza kuwarudisha kwenu sio nyie tu hata wa ethiopia wanakamatwa kila siku😀😀
We2 wakii enda uku nikuinvest c.kukuwa chokora.......Kenya ni welcoming.. C.kaa uko kwa kapombe
 
Nipe shughuli zakiuchumi kubwa za eld...inategemea nini zaidi
Kwa position yake Moshi iko nyuma maana Moshi ni manispaa tu Uku sio jiji! !
Eldoret ni city imepata status juzi na Nakuru.
1.International airport (exporting horticultural products to UAE na Europe)
2.Kenya's food basket(most parts of Kenya depend on uasin ngishu county for food,eldoret produces a lot of milk,maize,veges etc)
3.sports(all Kenyan athletes are based in eldy and they bring billions yearly and mainly develop real estate)
4.eldy hosts Kenya's 2nd biggest refferal hospital (also 2nd in east Africa) after Kenyatta hospital in Nairobi
5.Moi university-3rd biggest 20th in Africa
Chepkoilel university(university of eldoret)
Baraton university of eastern Africa

Several polytechnics and more than 10 satellite universities
6.industries-food,textile,etc eldy is industrial- Japanese are building a USD 2b fertilizer factory in eldy because of ready market since residents practice agriculture
 
Back
Top Bottom