Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Devolution huku kulikuwa nayo katika miaka ya 1970s, tulikua inajulikana kama Madaraka mikoani, ilisaidia sana kusambaza huduma mikoani, ila pesa nyingi ya serikali ilipotea sana, tukaachana nayo, hicho sio kitu kipya na wala msitegemee maajabu..Ganda la mua wa jana, chungu kaona mavuno.
Uhuru Kenyatta, governors to take home hefty gratuity
Uko hamna senator wala governor l......sijui ni.district Alafu munasema mko 2017.........
 
usitaje hicho kijiji tena hapa
Bw. El Matador tatizo lenYu kila mkijenga duka la jumla hapa mnaita mall! Its pathetic... BTW my daughters teachers and many teachers we employ hapa tz.. Most of them are Kenyans and they have quite and interesting POV.

Ila let us wait.. Najua upo kijana bado.. And jamii forums is here.. And the thread is so much alive... I am planning to tour the country this December and document progress... I will give you my feedback.

Its time our country to tell its own history. Thruthfully ofcoz ..without LIES.
 
Uko hamna senator wala governor l......sijui ni.district Alafu munasema mko 2017.........
Hapo ndipo ninyi wakenya mnakosa uwezo wa kufikiri badala yake mnawaiga wazungu hadi jinsi wanavyokunya chooni, sasa kwasababu mzungu anatumia neno devolution, sisi tukitumia neno madaraka mikoani, au mzungu akitumia neno governor, sisi tukitumia neno la mkuu wa mkoa na kazi na mfumo mzima na malengo ni sawasawa ninyi mnachanganyikiwa?, ama kweli mawazo ya slavery yanawasumbua sana.
 
Haya Dar imeipita Nairobi kwa kila kitu kwa miaka elfu 50 mbele. Umejisikia vizuri sasa?
Yani.......tower ina2mamsema mmeshinda Nairobi.....namkipata under change.c.mtasema mmeshinda newyork...... Bongalala enyewe iyo in ushamba
Na nai c ligi yah dar lbda Msa kulingana facts....huwa msa na dar ziko in race.....lkn nai iko ligi ingine

kama unaongea kuhusu area kisumu ina area kubwa kuliko dar,sababu kisumu na Nakuru ni counties kama Nairobi tu
 
Upuuzi wa december ....so the greatness of the city is about ..the number of 20flr + buildings ...kwa hyo Naorobi itashindana na London ..kama ikija kuipata pinnacle ..cause pinnacle ni 300m tower ???? ..kwanza hyo 20flr mnaweza mkawa nayo moja tu ..kwa picha mlizotuma mombasa ni kariakoo ya 2010
C.jf mulifungua juu.tower......umaunadhani 2wajui
Haya Dar imeipita Nairobi kwa kila kitu kwa miaka elfu 50 mbele. Umejisikia vizuri sasa?
 
Tukiweka ushabiki pembeni kwa mipango iliopo mezani Nadhani soon tunaweza kua na miji mikubwa miwili ukanda huu yenye heshima isioyakinafiki kimataifa!!
 
Hapo ndipo ninyi wakenya mnakosa uwezo wa kufikiri badala yake mnawaiga wazungu hadi jinsi wanavyokunya chooni, sasa kwasababu mzungu anatumia neno devolution, sisi tukitumia neno madaraka mikoani, au mzungu akitumia neno governor, sisi tukitumia neno la mkuu wa mkoa na kazi na mfumo mzima na malengo ni sawasawa ninyi mnachanganyikiwa?, ama kweli mawazo ya slavery yanawasumbua sana.
C..2 natread...yani...civilised Alafu muna2letea ushamba...ati mko 2017 ........chanukeni banaa
asante kwa maoni yako.
 
C..2 natread...yani...civilised Alafu muna2letea ushamba...ati mko 2017 ........chanukeni banaa
Jaribuni kujinasua toka katika mawazo ya kitumwa ya kuiga kila kitu toka kwa wazungu, kuanzia lugha, mfumo wa uongozi, hadi kunya.
 
kahama ndio wapi kule?
Kahama is your coming nightmare..

1996 urban population 36k
2012 urban population 270k
2017 Estimated popn. 310k

Naomba nikwambie watu.hawakimbilii njaa.. Ukiona mnamiminika sehemu ujue kuna neema.

Ukinipa one town in Kenya with that track record in growth..at per with Kahama. Unakunywa Mirinda nyeusi popote ulipo.
 
N.iliask Mtz mmoja ..bona kukam kuishi..Kenya......ati ..ananishow..ati juu. Yaa pesa.....yah.kenya iko juu..sasa auze mayai for 1 year Alafu arudi tz akabwage...mapesaa..........ma254 c.iyo..niushamba....na slaveless
 
Alafu mnasay....ati mume overtake Kenya....,iyi no ufala sana
Faida moja wapo ya hii jamii forum kufika huko Kenya, ni kuwasaidia wakenya kuboresha lugha ya Lugha ya kiswahili, sasa nitashangaa baada ya wiki moja bado hujarekebisha kiswahili chako...watakucheka watu..
 
Hiyo eneo kubwa imejengwa ?! Au mmejaza mapori tu.
Niambieni uko .town yenyu ambaye imeshinda Nakuru kwa population... Except dar....
Alafu mnasay....ati mume overtake Kenya....,iyi no ufala sana

Faida moja wapo ya hii jamii forum kufika huko Kenya, ni kuwasaidia wakenya kuboresha lugha ya Lugha ya kiswahili, sasa nitashangaa baada ya wiki moja bado hujarekebisha kiswahili chako...watakucheka watu..
 
Faida moja wapo ya hii jamii forum kufika huko Kenya, ni kuwasaidia wakenya kuboresha lugha ya Lugha ya kiswahili, sasa nitashangaa baada ya wiki moja bado hujarekebisha kiswahili chako...watakucheka watu..
Sisi kiswahlli tunaijua.pia goso.na our mother tongue cc ndo tunafaa k kuwafunza goso
 
Niambieni uko .town yenyu ambaye imeshinda Nakuru kwa population... Except dar....
Over 400k Dodoma, Arusha, Mbeya
300k- 400k Morogoro, Tanga, Kahama
200k- 300k Kigoma, Zanzibar, Sumbawanga, Songea, Moshi
100k- 200k Musoma, Bukoba, Shinyanga, Iringa, Kibaha, Mtwara, Bukoba nk.

Nipe population ya Nakuru.
 
Back
Top Bottom