Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo sio Dashboard idiot. Naona Mshaanza kuchanganyikiwa😂😂😂.

It’s not only Kenya that display their train speed for passengers to see.

CHINA


View: https://youtube.com/shorts/0Xgzq66H6so?si=_zCOf0XZVRb9Ih-p

(Putting everything equal) Treni haiwezi tembea 300km/h kwenye reli kama yenyu (ambayo haijachomelewa), bila kuacha njia (mtetemo au reverberation itakuwa kubwa sana). kajisomee kwanza kitu kinaitwa natural frequency na resonance, ukishaelewa "kuja" tena hapa tubonge.
 
Kuna wabongo wako vizuri aisee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿😍

20240424_221416.jpg
 
If your whole tourism can fall into shambles/damage because some girl confused Olorgeseille with Olduvai Gorge then your tourism department is the problem bro. Think. 😂😂😂
Heeee! How did you link that with girl not minister?
 
Hili dude likiamua kukimbia linafika 200km/h. Hapa jamaa anaenda na 120km/h na bado linamuacha alafu unaleta kibandiko kimeandikwa 100km/h.

View: https://m.youtube.com/watch?v=p4zJkfT3yaU&pp=ygUYS2VueWFuIGRyaXZlciByYWNpbmcgc2dy

Hahahahahaaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mmeamua kuwa makatuni sasa, hivi hii battle itaendelea kweli kwa uchale huu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wanakuambia 722km in 3hrs, yani eti train yao inaenda 240kph na hapo hujatoa stoppage time. Ukitoa hiyo unapata zaidi ya 300kph - Yana wanasema train yao imetoshana speed na bullet train za Japan. 🤣 🤣 🤣 Nikisema masomo ya Tz ni duni mnasema nawaonea buffalo44 .
Kinjekitile Saba naye anasema Dar to Moro ni 194km na Moro to Dom ni 422km. Meanwhile Goole maps zinasema hivi
View attachment 2972617View attachment 2972618


262+198 = 460. Ikumbukwe hii ni distance ya barabara. Barabara huwa na kona nyingi kuliko railway. Ukiiweka kwa railway hiyo distance haitofika 430km.
Chamoto
Geza Ulole
tuusan

Elimu yenu ni duni na inaonyesha. Vitu za kutumia akili kidogo zinasumbua watu.
Halafu inaonyesha wengi wenu hamtembei, mmekaa tu hapo Tandale maanake distances between major towns kama hizi kwa mtu anayetravel nchi yake anazijua kwa vidole.
Umeongea kwa uchungu mkubwa, na hiki ndicho ninachotaka, mzidi kuumia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Today we are here to deconstruct Tanzanian lies😂😂.

Another train with a maximum speed of 158km/hr, Kenya has several trains with different speed limits.

ichoboy01 mambo vipi? Mbona huleti Tena hile cargo train ulikazana nayo?

IMG_0161.jpeg
 
Today we are here to deconstruct Tanzanian lies😂😂.

Another train with a maximum speed of 158km/hr, Kenya has several trains of different maximum speeds.

ichoboy01 mambo vipi? Mbona huleti Tena hile cargo train ulikazana nayo?

View attachment 2973203
can you bring the whole picture to see if that is Kenyan train? If so how can that train move at that speed on jointed railway?
 
Back
Top Bottom