Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1. Nimekuuliza unipostie the exact thing that he said, maanake nawajua nyie ni watu wa kulialia. Wacha nikupe mifano.
Leo hii ndio nimejua mlikua na reli kutoka Arusha hadi Voi mkaingóa kisa hamtaki Port ya Mombasa ifaidike juu ya ukaribu wa Arusha na Mombasa. Wakenya tungewafanyia kitendo kama hiki hamngewai nyamazia. Hadi sai watoto wenu wa chekechea wangejua Wakenya wana roho mbaya kisa waling'oa reli ili msifaidike. Unaona tofauti?

Juzi juzi mkachoma vifaranga wa Kenya. Kisa hicho kishasahaulika huku Kenya ila ingekuwa Kenya imewafanyia hilo, hamngewai nyamaza. Hadi watoto wadogo mngewakaririsha.

Mkifungua hiyo Nyerere bridge yenu, Rais wenu alipiga Wakenya low jab eti ''Utasikia wengine wakisema daraja hili ni la kwao sababu wanapenda kusema vyote vizuri ni vya kwao". Hayo matamshi hata huku Kenya watu hawana habari yalisemwa. Mimi nayajua sababu mliyapost humu. Ingekuwa ni Kenya hata kama ni Diwani ameyatamka hayo, hamngewai nyamaza. Mngelitumia kueneza chuki dhidi ya Wakenya hadi mchoke.

Kuna lile la Judge wa Talent search hapo kwenu kudisqualify mtu kisa ameuimba wimbo kutoka Kenya. Kenya tungefanya kitendo kama hicho, mngetuandika kwa kitabu chenu cha chuki.

Hadi vitu visivyo vya chuki kama jina la ndege mnadiscuss hadi kwa parliament eti tunawaibia mlima.

That's why I tell you, your problem is inferiority complex. You blow things out of proportion, whine a lot and had a generally negative attitude towards Kenya. Nyie hamwezi saidika.
Nikuache tu, seems wa juzi wewe. Ukute nabishana na wa dot.com.

Huyo Rosemary Odinga hujamuona?
 
1. Nimekuuliza unipostie the exact thing that he said, maanake nawajua nyie ni watu wa kulialia. Wacha nikupe mifano.
Leo hii ndio nimejua mlikua na reli kutoka Arusha hadi Voi mkaingóa kisa hamtaki Port ya Mombasa ifaidike juu ya ukaribu wa Arusha na Mombasa. Wakenya tungewafanyia kitendo kama hiki hamngewai nyamazia. Hadi sai watoto wenu wa chekechea wangejua Wakenya wana roho mbaya kisa waling'oa reli ili msifaidike. Unaona tofauti?

Juzi juzi mkachoma vifaranga wa Kenya. Kisa hicho kishasahaulika huku Kenya ila ingekuwa Kenya imewafanyia hilo, hamngewai nyamaza. Hadi watoto wadogo mngewakaririsha.

Mkifungua hiyo Nyerere bridge yenu, Rais wenu alipiga Wakenya low jab eti ''Utasikia wengine wakisema daraja hili ni la kwao sababu wanapenda kusema vyote vizuri ni vya kwao". Hayo matamshi hata huku Kenya watu hawana habari yalisemwa. Mimi nayajua sababu mliyapost humu. Ingekuwa ni Kenya hata kama ni Diwani ameyatamka hayo, hamngewai nyamaza. Mngelitumia kueneza chuki dhidi ya Wakenya hadi mchoke.

Kuna lile la Judge wa Talent search hapo kwenu kudisqualify mtu kisa ameuimba wimbo kutoka Kenya. Kenya tungefanya kitendo kama hicho, mngetuandika kwa kitabu chenu cha chuki.

Hadi vitu visivyo vya chuki kama jina la ndege mnadiscuss hadi kwa parliament eti tunawaibia mlima.

That's why I tell you, your problem is inferiority complex. You blow things out of proportion, whine a lot and had a generally negative attitude towards Kenya. Nyie hamwezi saidika.
Where Imesema tuliing'oa, yaani me naleta hapa evidence kabisa we unaniletea blah blah. Weka evidence.

Eti Inferiority complex, unaiongea sana vipi unayo?

Mtanzania awe na inferiority complex kwa Mkenya? Are you serious Mtanzania ambae anastand anachokiamini bila kujali wengine wanaonaje awe na inferiority complex kwa yule anayelamba watu viatu?
 
Hiyo ni Canopy.

Again what’s the distance from Dar to Dodoma?😂😂
Screenshot_2024-04-24-19-21-07-27_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
We don’t care. Kitu muhimu ni kwamba our Diesel trains are much faster than you so called electric trains at full speed.😂😂
Fanya uwapelekee ndugu zako twitter na sehemu zote uwapoze machungu sasa.

Na hiyo video. Serious unaamina ngijangija yenu ambayo ina warning kama zote ya Max speed 100km/h kuanzia dashboard kuwekewa red line, mpaka nje kuandikwa bado unajitoa ufahamu.
 
Wanakuambia 722km in 3hrs, yani eti train yao inaenda 240kph na hapo hujatoa stoppage time. Ukitoa hiyo unapata zaidi ya 300kph - Yana wanasema train yao imetoshana speed na bullet train za Japan. 🤣 🤣 🤣 Nikisema masomo ya Tz ni duni mnasema nawaonea buffalo44 .
Kinjekitile Saba naye anasema Dar to Moro ni 194km na Moro to Dom ni 422km. Meanwhile Goole maps zinasema hivi
View attachment 2972617View attachment 2972618


262+198 = 460. Ikumbukwe hii ni distance ya barabara. Barabara huwa na kona nyingi kuliko railway. Ukiiweka kwa railway hiyo distance haitofika 430km.
Chamoto
Geza Ulole
tuusan

Elimu yenu ni duni na inaonyesha. Vitu za kutumia akili kidogo zinasumbua watu.
Halafu inaonyesha wengi wenu hamtembei, mmekaa tu hapo Tandale maanake distances between major towns kama hizi kwa mtu anayetravel nchi yake anazijua kwa vidole.
Railway ina mzunguko kuliko barabara we jamaa.
Distance ya Moro to Dar kwa train ni 250+kms.
Reli huzunguka maporini na milimani hivyo distance kuongezeka.
 
Back
Top Bottom