The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Kenya ni nchi yenye vurugu sn, ni kama Nigeria kuna vurugu na kelele nyingi.Enhh kumbe walitembea na mawe wakafanya vurugu na wapo hapa wamekaa kimya π π π π π π π Teargas
Kenya ni nchi yenye vurugu sn, ni kama Nigeria kuna vurugu na kelele nyingi.Enhh kumbe walitembea na mawe wakafanya vurugu na wapo hapa wamekaa kimya π π π π π π π Teargas
UongoπππNoway bro ngumu Sana kumuepuka mchina na nimeskia anaanza kua assemble bus zake youtong hapa hapa dar kigamboni tayar wameshajenga kiwanda
Si walidai treni yetu ya kobe!?Ona huyu nyangau anaongelea kuhusu infrastructure anafikiri hiyo train inapita kwa hewa. Aseme tuu kenya lacks infrastructure to operate electric trains wala asi generalise other Africans and make them at par with their underdeveloped rail infrastructure. Sisi tumeshatoka huko kwenye nginjanginja na hakuna developed country yoyote inayoweza kututambia kwenye electric trains na infrastructure zake.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Hizo chassis zenye zinakuwa assembled Kenya ndio buses zote za Scania huko Tanzania zinatumia.
Uongoπππ
Chinese investors (Yutong) wamekataa setting up assembly plant in Tanzania. What's is being built in Kigamboni is just a garage ya kubadilisha engine oil, brake pads and fluids, shocks etc ππ
View: https://twitter.com/ChineseEmbTZ/status/1782306115650261068?s=19
Kenya huwa mnaanza vurugu,Tanzania tunaanzwa.Why is it okay for you to explain why Tanzania is right on the issue but when someone explains why Kenya is right on the Somalia issue mnasema Kenya tuna ugomvi na majirani?
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Hizi ni vitu mechanics wa Grogon wanafanya. Sasa kufanyia tu gari upgrade ndio unafanya ubahave like a goat hivo?
Swahili comes from Arabic word sawahili Which is plural for "people of the coast"Even the term Swahili itself is an Arabic word.
Eti green city under waterπ€£π€£
View: https://twitter.com/citizentvkenya/status/1782643720044646789?t=5e5IlVUg5XPM_JUccrh0yg&s=19
Kiswahili 68% ni kibantu we nyangau.Aliekuambia kiswahili asili yake ni Africa ni nani? Do you even know the history of this language you take do much pride in?
Kwamba ukienda uarabuni unawezaongea kiswahili ukaeleweka?Huyo kilaza hajui chochote. Yeye bora amezaliwa akapata Lugha ya kiswahili kipo na anaweza izungumza.
Anafaa ajiulize ni kwa nini Kuna baadhi ya maneno ya kiarabu na kiswahili yanaendana both in pronounciation and meaning
Hilo neno tumelitohoa sisi ili tupate jina kamili ya lugha ambayo ina asilimia kubwa ya misamiati ya kibantu na asilimia kadhaa ya misamiati iliyotoholewa katika lugha zingine za kigeni.Swahili comes from Arabic word sawahili Which is plural for "people of the coast"
Mbona unalazimisha watu wakuone una maana? ππSwahili comes from Arabic word sawahili Which is plural for "people of the coast"
Huyo kenge wa Yemen sasa afunge account tuone
Enda kajinyongeMbona unalazimisha watu wakuone una maana? ππ
The fact that hiyo lugha is not 100% African it isn't native to Africans as you imply. Asengekuja mwarabu wewe sasa hivi ungekuwa unaongea kinyamwezi kama lugha yako rasmiHilo neno tumelitohoa sisi ili tupate jina kamili ya lugha ambayo ina asilimia kubwa ya misamiati ya kibantu na asilimia kadhaa ya misamiati iliyotoholewa katika lugha zingine za kigeni.
Maana tungesema iitwe kibantu isingeleta maana kwasababu vibantu vipo aina nyingi.