Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You're asking the wrong person, who is not well informed on matters concerning the border dispute between Kenya and Somalia.
Well, my question is based on your ndugus assertions that Kenya does not get along with her neighbors and border disputes are what they used as examples.
 
Then sit down. This discussion is for English speakers.
English Speakers. Subwoofer au? 😁 😁 😁 😁 (This discussion is for those who speak English). Jitahidi kuandika lugha ya watu vizuri.

1713788527677.png
 
Ndugu kivipi wakati hii mipaka imechorwa na wazungu? Sasa unataka useme Mnyakyusa wa Tanzania ana undugu wa damu na Mnzanzibari Mwarabu kuliko Mnyakyusa wa Malawi? Wacha kufikiria kama kuku mgonjwa.
We mpumbavu usiejua historia Zanzibar imejaa wanyamwezi kibao. Jifunze kwanza historia kabla ya kuja kupayuka hapa.
 

Ona huyu nyangau anaongelea kuhusu infrastructure anafikiri hiyo train inapita kwa hewa. Aseme tuu kenya lacks infrastructure to operate electric trains wala asi generalise other Africans and make them at par with their underdeveloped rail infrastructure. Sisi tumeshatoka huko kwenye nginjanginja na hakuna developed country yoyote inayoweza kututambia kwenye electric trains na infrastructure zake.
 
Wapumbavu sana kundurenda
Tena ile ishu ya Nyerere bridge ilizua tafrani.
Yani ile siku daraja linazinduliwa tu na picha kurushwa mitandaoni,wakenya lukuki wali edit picha na kudai hilo ni daraja la Mombasa aiseeee!?
Aya ya Olduvai gorge yule dada Mpumbavu anaongea mbele ya hadhira akisema kasoma Olduvai gorge iko Kenya,asa sijui syllabus gani hiyo.
 
Back
Top Bottom