Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hvi kwann Kenya league haiko live score🤣
Screenshot_20240423-090911.png
 
Kwamba ukienda uarabuni unawezaongea kiswahili ukaeleweka?
Jinga sana,
Sifa mojawapo ya Lugha yotote duniani ni Kuwa Lugha hutohoa maneno toka Lugha nyingine. Kiswahili kimetohoa baadhi ya maneno toka kwenye Lugha nyingine zikiwemo Kingereza, Kijerumani nk. Hata hivyo predominately Kiswahili ni Lugha ya Kibantu,
Ni kawaida. Ndio maana unaona Lugha kama Kiitaliano ina maneno mengi sana ya Kingereza. Nothing wrong .
Narudia, hicho kibantu ni Kingozi, Lugha kutoka Lamu, Kenya.
 
Kwamba ukienda uarabuni unawezaongea kiswahili ukaeleweka?
Jinga sana,
Sifa mojawapo ya Lugha yotote duniani ni Kuwa Lugha hutohoa maneno toka Lugha nyingine. Kiswahili kimetohoa baadhi ya maneno toka kwenye Lugha nyingine zikiwemo Kingereza, Kijerumani nk. Hata hivyo predominately Kiswahili ni Lugha ya Kibantu,
Ni kawaida. Ndio maana unaona Lugha kama Kiitaliano ina maneno mengi sana ya Kingereza. Nothing wrong .
Ndio, unawezaenda uarabuni ukaongea kiswahili na ueleweke.

Maneno kama habari na duka are all Arabic words. Habari (Khabar), karibu (qareeb), salama (salaam). I can give you so many examples
 
Habari njema sana kwa Namibia.
As we speak Namibia ni Nchi iliyoendelea , watu wana maisha mazuri sana,
Sipati picha Hawa jamaa wakianza kuchimba wese. Hakika In Just 10 years watakuwa kama Norway.
Kwa ujumla nchi za SADC ziko vizuri. Ufukara unaanzia huko Kunya kupanda huko Ethiopia, Sudani ya Kusini na Huko Africa Magharibi. kuna nchi moja fukara waligundua mafuta mapipa elfu 50 wakawa wanatupigia kelele humu hatulali, wakaanza kusafirisha na lori la isuzu. Sijui waliishia wapi .

NB: Ni muhimu sana Tanzania kuwekeza nguvu na Jubudi zaidi Huku SADC.

View attachment 2971521
Waarabu watatengeneza wanamgambo kudistabu production
 
The fact that hiyo lugha is not 100% African it isn't native to Africans as you imply. Asengekuja mwarabu wewe sasa hivi ungekuwa unaongea kinyamwezi kama lugha yako rasmi
Ushuzi mtupu. Sasa naanza kuelewa kwa nini nyie nyang’au bado mnang’ang’ania Kiingereza kama ni lugha yenu, ha ha ha😎
 
Lamu? Jinga lingine low iq detected, Ulienda shule kweli ? Wewe asili yako ni kabila gani ? Mimi ni mbantu and I can easily relate lots of swahili words with my tribal language.
Shida yako ukiambiwa ukweli wenye hujui unaanza matusi. Kiswahili kimetoka kwa lugha ya Kingozi. Soma historia. Wewe Mbantu utapata maneno mengi ya lugha yako kwa kiswahili ila lugha yako sio chanzo Cha kiswahili. Sikiiza Mgiriama akiongea ama Mpokomo. Lugha yao ni kiswahili kwa asilimia 90. Soma historia uwache kuwa mjinga.
 
Shida yako ukiambiwa ukweli wenye hujui unaanza matusi. Kiswahili kimetoka kwa lugha ya Kingozi. Soma historia. Wewe Mbantu utapata maneno mengi ya lugha yako kwa kiswahili ila lugha yako sio chanzo Cha kiswahili. Sikiiza Mgiriama akiongea ama Mpokomo. Lugha yao ni kiswahili kwa asilimia 90. Soma historia uwache kuwa mjinga.
Historia hii umeipata wapi we fala maandazi? 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom