Sisi sio ndugu wa damu nao kama Zanzibar mbona unakuwa mzito ku grasp vitu ambavyo viko obvious?Sasa mbona hizo nchi za Southern Africa hazikujiunga na nyinyi?
Sisi sio ndugu wa damu nao kama Zanzibar mbona unakuwa mzito ku grasp vitu ambavyo viko obvious?Sasa mbona hizo nchi za Southern Africa hazikujiunga na nyinyi?
Rangi za uso hazifanani na za miguu, bleaching agents😃
Malawi na mozambique mpaka upo katikati ya ziwa lakini kwa Tanzania wanataka mpaka uwe kwenye beach zetu hilo haliwezekani na ni kinyume na sheria za kimataifa.Suala la Malawi kwani wewe hulijui?
Mipaka imechorwa toka miaka ya Nyerere kuwa Tanzania inamiliki sehemu ya Ziwa Nyasa kama Ilivyo Ziwa victoria.
Malawi wanataka kumiliki Ziwa lote,je hilo wewe unaona sahihi??
Punguza ufala kidogo.
Nakutajia vitu vitatu ambavyo Kenya mli claim vyenu.
1)Mt.Kilimanjaro.
2)Olduvai gorge.
3)Nyerere bridge.
Je bado unakataa?
Tena ile ishu ya Nyerere bridge ilizua tafrani.Na yeye ataje vitu vya kundurenda ambavyo Tanzania tunaclaim kuwa ni vyakwetu
Siyo Mombasa tu all the way toka Cabo Delgado mpaka Lamu! Kwani hizo maps za Bwana wenu Mwingereza huzioni?Mmeuanza mjadala wenyewe mkisema Mombasa ilikuwa ya Zanzibar sultanate. Sasa mbona hasira?
Kwanza hata wao kwa wao hawaelewani.😉😉Sasa kati ya TZ na Kunya nani ana shida ? Maana as we speak hamuelewani na jirani yeyote. You don’t get along with Somalia, Uganda, Ethiopia, South Sudan.. afadhali Hata Tz tunaustahimilivu juu ya Tabia zenu za Hovyo. Ethiopia huwa wanawapelekeaga tu moto. Ukweli usemwe. Mna tabia za Hovyo.
Mpira wa CAF katika ubaro wake. Algeria na Morocco mgogoro umeibuka baada ya Morocco kuweka bendera kwa jersey inayoonyesha western Sahara Kama yao. Leta popcorn 😅
View: https://twitter.com/MickyJnr__/status/1782109468244730356?t=zjWL74qpkYnBRsufrUBOmA&s=19
Endelea kujiliwazaKazi nzuri Azam media kuhamasisha mpira kwa jirani maana ilipigwa promo ya nguvu 😁
Bongolala, Nyayo stadium has a capacity of 30,000 people. Hiyo ya 15,000 sijui umetoa Tandale kwa mfuga mbwa ama wapiHuna exposure. Watu 15,000 wanakuchawisha.
Huku kwentu ni more than 60,000
Do you have evidence to what you are saying?Unashangilia utoto wakat CDF anauliwa kama paka kwenye nchi isiokua na Amani mpaka kwa viongozi wakubwa kabisa kwenye nchi 😅😅😅😅
Wakenya wenzio wanajua ukweli ww uko wapi?? Jaluo jinga hii😅😅😅😅Do you have evidence to what you are saying?
Ndugu kivipi wakati hii mipaka imechorwa na wazungu? Sasa unataka useme Mnyakyusa wa Tanzania ana undugu wa damu na Mnzanzibari Mwarabu kuliko Mnyakyusa wa Malawi? Wacha kufikiria kama kuku mgonjwa.Sisi sio ndugu wa damu nao kama Zanzibar mbona unakuwa mzito ku grasp vitu ambavyo viko obvious?
In fact kama unafuatilia mjadala utaona nilisema kuanzia Somalia Hadi Msumbiji. Pumbavu wee.Siyo Mombasa tu all the way toka Cabo Delgado mpaka Lamu! Kwani hizo maps za Bwana wenu Mwingereza huzioni?
![]()
Nyerere alimwambia kamuzu Banda kuwa, kama ziwa ni la Malawi basi wanatakiwa kulipia kila wimbi la maji linalo gusa pwani yetu.Suala la Malawi kwani wewe hulijui?
Mipaka imechorwa toka miaka ya Nyerere kuwa Tanzania inamiliki sehemu ya Ziwa Nyasa kama Ilivyo Ziwa victoria.
Malawi wanataka kumiliki Ziwa lote,je hilo wewe unaona sahihi??
Punguza ufala kidogo.
Why is it okay for you to explain why Tanzania is right on the issue but when someone explains why Kenya is right on the Somalia issue mnasema Kenya tuna ugomvi na majirani?Nyerere alimwambia kamuzu Banda kuwa kama ziwa ni la Malawi basi wanatakiwa kulipia kila wimbi ya maji linalo gusa pwani yetu.