Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kasarani under construction
Nyayo Stadium under construction.
Which construction will happen again in Nyayo wakat juzi Tu pesa kibao zimeteketea hapo na hakuna kitu kinaonekana 🤣🤣🤣

Politicians Kenya hawatokua maskini mpaka kufa 😅😅😅😅
 
West Africa ina watu wa Ovyo sana Africa Bado wanapenda kutawaliwa kuliko sehemu nyingine za Africa
Historia ya miaka zaidi ya miaka 500 inapingana na we, kuhusu kutawaliwa kwa Afrika na Urusi. Sasa kama wewe ni mwerevu kuliko 'time tested' tabia ya warusi, basi utakuwa sawa na Dr. Fauci analiyetudanganya kuwa covid vaccine ni bora kuliko 'time tested' (million of yrs) natural immunity.
 
Ukiondoa kina rostam na dewji watanzania wenye uwezo wakuja Kenya kucheki game hawafiki tano🖐🏾
Uko kwenu kwanza kuna ligi au ushuzi tu, tupate wadhamini kdg
Screenshot_20240422-111622~2.png
Screenshot_20240422-111558~2.png
Screenshot_20240422-111517~2.png
Screenshot_20240422-111423~2.png
Screenshot_20240422-181826~2.png
 
Back
Top Bottom