NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,975
Unafuata mambo ya Bwana Mahasira AKA Guesthouse Ulale?Nimeconfirm haijawahi kua upande wa Kenya.
Nimeikosea nchi.
Unafuata mambo ya Bwana Mahasira AKA Guesthouse Ulale?Nimeconfirm haijawahi kua upande wa Kenya.
Nimeikosea nchi.
Kipindi hicho nilikuaga wapi Hadi tukio hili likanipita? We fala acha matusi.
Chawa Mkuu ni huyu hapa 👇👇
View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1781317600514809949?t=qE0eji_KcyMwp94LekRyYQ&s=19
1. Comoro iko mbali na nchi zingine, haingemake sense Comoro kuijiunga na nchi nyingine kwa sababu ya huo umbali.
2. Kama Zanzibar wangemiliki pwani ya Tanzania na Kenya yote, niambie kipi kingine wangetaka ndio wajiunge na Tanganyika? Kumbuka mji wenu mkubwa Dar es Salaam ungekuwa Zanzibar. sasa ni ni mngekuwa mnawaoffer ndio wakubali kujiunga nanyi?
Zanzibar ni part ya Tanzania hizo imagination zako hazisaidii kitu maana wewe sio Mungu kujua kuwa Zanzibar ingejiunga na Tanganyika ama la.Soma kuelewa, sio kujibu. Better still, learn your history.
Hawa wakunya machakani wajinga sana yani mtu anaamka anaamua kuja na upupu wake na kubishia historia!Zanzibar ni part ya Tanzania hizo imagination zako hazisaidii kitu maana wewe sio Mungu kujua kuwa Zanzibar ingejiunga na Tanganyika ama la.
Hizo akili zako ni za kinyangaunyangau mnaweka maslahi mbele kuliko ubinadamu ndio maana mpo hapo mlipo kwasababu ya ubinafsi. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar was more than ardhi na resources sisi ni ndugu na tulisaidia ndugu zetu kujitoa katika makucha ya kikoloni kama tulivyofanya kwa nchi nyingine Southern africa.Wewe ni kama Kima hivi. Nchi kubwa iliyo na resources nyingi haiwezi ikajiunga na nchi nyingine. Kanchi kadogo katakua more willing kujiunga na nchi nyingine. Ndio maana nakwambia kama Zanzibar Sultanate ingekuwa na ukubwa iliyokuwa nayo haingekuwa na motivation ya kujiunga na Tanganyika maanake wangekuwa na kila kitu including security.
Hivi unafuatilia mjadala ama unajibu tu kisa unataka kubishana?Zanzibar ni part ya Tanzania hizo imagination zako hazisaidii kitu maana wewe sio Mungu kujua kuwa Zanzibar ingejiunga na Tanganyika ama la.
Kojoa usubiri shemeji yako akuandalie chai. Hii sio nginjanginja.Speed ya locomotive. 80km/h
Sasa mbona hizo nchi za Southern Africa hazikujiunga na nyinyi?Hizo akili zako ni za kinyangaunyangau mnaweka maslahi mbele kuliko ubinadamu ndio maana mpo hapo mlipo kwasababu ya ubinafsi. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar was more than ardhi na resources sisi ni ndugu na tulisaidia ndugu zetu kujitoa katika makucha ya kikoloni kama tulivyofanya kwa nchi nyingine Southern africa.
Kazi ya kukaa na kula kwa shemeji yake. Kila mtu awe na dada kwakweli 🤣🤣🤣🤣Hawa wakunya machakani wajinga sana yani mtu anaamka anaamua kuja na upupu wake na kubishia historia!
Suala la Malawi kwani wewe hulijui?Kuhusu hilo la eti sijui kuiba vyenu na kuwaharibia jina.
Hivi jirani mgani tumekosana Naye? Hapo juu mnapost tussles zenu na Malawi alafu uongelee sisi kukosana na majirani?
Nakutajia vitu vitatu ambavyo Kenya mli claim vyenu.Wewe uko brainwashed.😂😂😂
Tumeshaungana tayari ama unataka kupindua historia kwa hypothesis zako za kinyangau?Hivi unafuatilia mjadala ama unajibu tu kisa unataka kubishana?
Mmeuanza mjadala wenyewe mkisema Mombasa ilikuwa ya Zanzibar sultanate. Sasa mbona hasira?Hawa wakunya machakani wajinga sana yani mtu anaamka anaamua kuja na upupu wake na kubishia historia!