Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa tabia zetu vipi na tunapendwa kwengine kwote. On the other hand, Kuna video ya Mnijeria humu akiwalalamika mlivyo wabaguzi na kujifanya wazungu. Nyinyi tu ndio mna chuki?😂😂😂
Sasa kati ya TZ na Kunya nani ana shida ? Maana as we speak hamuelewani na jirani yeyote. You don’t get along with Somalia, Uganda, Ethiopia, South Sudan.. afadhali Hata Tz tunaustahimilivu juu ya Tabia zenu za Hovyo. Ethiopia huwa wanawapelekeaga tu moto. Ukweli usemwe. Mna tabia za Hovyo.
 
Mpumbavu wa wapi wewe Muungano ulitokea baada ya Sultan kupinduliwa! Na kama Mombasa ingekuwa chini ya Sultan kipindi cha Mapinduzi ingekuwa chini ya Muungano saahii! BTW thanks the Queen of England for buying Mombasa from Zanzibar Sultanate!
Zanzibar hawengejiunga nanyi kamwe kama wangekuwa na eneo kubwa kama pwani ya Kenya. Ukumbuke pia pwani ya Tanzania yote plus section ya pwani ya Mozambique na Somalia zilikuwa under Zanzibar sultanate. Practically mngeipoteza Dar, Tanga na pwani yenu yote. Usijifanye ng'ombe.
 
Sasa kati ya TZ na Kunya nani ana shida ? Maana as we speak hamuelewani na jirani yeyote. You don’t get along with Somalia, Uganda, Ethiopia, South Sudan.. afadhali Hata Tz tunaustahimilivu juu ya Tabia zenu za Hovyo. Ethiopia huwa wanawapelekeaga tu moto. Ukweli usemwe. Mna tabia za Hovyo.


Shida yenu Wabongo huwa mnadhani mkikariri chuki zenu mara nyingi zitakuwa ukweli. Hizo nchi ulizotaja zote tuna relationship nzuri sana Nazo. SS wamepigania Uhuru wao Kenya. Bila Kenya hawangekua huru. Tunavyoongea familia ya Garang na Salva Kiir zinaishi Nairobi. Garanga amekulia Nairobi na akasoma Nairobi. Vikao vyao vya Uhuru vilivanyiwa Nairobi. Kuna wakati serikali ya Somalia ilikaa Nairobi na vikao vyao vikafanyiwa Nairobi. Uganda nao usiseme. Our best neighbor. Tunawapenda wanatupenda. Ethiopia pia Hadi safaricom wamefungua branch huko. Endeleeni kutuombea mabaya tukiendelea. Msidhani sisi ni nyinyi mnaodhulumu Malawi.

Hapo Bongo mliwanyanyasa Black Americans Hadi sahii wako mitandaoni wanamlia. Yule Mnijeria akasema mnajifanya Wazungu. Yani mna roho mbaya sana nyinyi watu.
 
Hii ni stadium kwa huko Kenya?
Ukiongea hivi mtu hawezi jua mna maboma ya nguruwe kama haya mnayaita stadium na hata kuchezea premier league games.


images (5).jpeg



images (4).jpeg
 
Kenya has been keenly working on establishing strong presence in Space exploration and science. Been working with China to establish permanent station on the moon.

Together with that, Kenya has been working on Rocket and Missile program called nakuja.

These rockets are being developed 100% in Kenya.
View attachment 2970541View attachment 2970542View attachment 2970543View attachment 2970545View attachment 2970546
Toka uhuru mpaka leo hamjaweza ku manage basics kama chakula, afya ndio mtawezana na mambo ya space technology 🤣🤣🤣🤣
 
Zanzibar hawengejiunga nanyi kamwe kama wangekuwa na eneo kubwa kama pwani ya Kenya. Ukumbuke pia pwani ya Tanzania yote plus section ya pwani ya Mozambique na Somalia zilikuwa under Zanzibar sultanate. Practically mngeipoteza Dar, Tanga na pwani yenu yote. Usijifanye ng'ombe.
We juha kwani Zanzibar sio Tanzania?
 
Erdogan aliwahi kuja lini Tanzania? Vimefaulu Kwa Samia mnatafuta kubebesha Marehemu 🤣🤣

Atakuja awamu hii ya Samia na mtawaona wengi.

Yaani ujifungie ndani hupendi Kwa wenzako then shughuli Yako unataka watu waje? Hakuna punguani wa hivyo.

View: https://twitter.com/Dodoma_Zone_/status/1782153597754429739?t=_wW1HohCSEUjKF696PCtQg&s=19

Hebu mzee jaribu kutafuta facts. Sipendi watu wanaoongea vitu ovyo. Hivi wewe ni chawa?



UCHAWA WAKO NI WA KIPUMBAVU
 
Shida yenu Wabongo huwa mnadhani mkikariri chuki zenu mara nyingi zitakuwa ukweli. Hizo nchi ulizotaja zote tuna relationship nzuri sana Nazo. SS wamepigania Uhuru wao Kenya. Bila Kenya hawangekua huru. Tunavyoongea familia ya Garang na Salva Kiir zinaishi Nairobi. Garanga amekulia Nairobi na akasoma Nairobi. Vikao vyao vya Uhuru vilivanyiwa Nairobi. Kuna wakati serikali ya Somalia ilikaa Nairobi na vikao vyao vikafanyiwa Nairobi. Uganda nao usiseme. Our best neighbor. Tunawapenda wanatupenda. Ethiopia pia Hadi safaricom wamefungua branch huko. Endeleeni kutuombea mabaya tukiendelea. Msidhani sisi ni nyinyi mnaodhulumu Malawi.

Hapo Bongo mliwanyanyasa Black Americans Hadi sahii wako mitandaoni wanamlia. Yule Mnijeria akasema mnajifanya Wazungu. Yani mna roho mbaya sana nyinyi watu.
1. Ethiopia never get colonized. Mliipigania uhuru wapi?
2. Somalia got independence 1960 before Kenya

3. South Sudan separated from Sudan

4. Uganda got independence 1962 before Kenya.
Hebu tuambie nchi gani mliisadia uhuru?
 

Hebu mzee jaribu kutafuta facts. Sipendi watu wanaoongea vitu ovyo. Hivi wewe ni chawa?



UCHAWA WAKO NI WA KIPUMBAVU
Kipindi hicho nilikuaga wapi Hadi tukio hili likanipita? We fala acha matusi.

Chawa Mkuu ni huyu hapa 👇👇

View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1781317600514809949?t=qE0eji_KcyMwp94LekRyYQ&s=19
 
Wewe ndio huelewi sababu za wao kujiunga na Tanganyika wala si ardhi!
Wewe ni kama Kima hivi. Nchi kubwa iliyo na resources nyingi haiwezi ikajiunga na nchi nyingine. Kanchi kadogo katakua more willing kujiunga na nchi nyingine. Ndio maana nakwambia kama Zanzibar Sultanate ingekuwa na ukubwa iliyokuwa nayo haingekuwa na motivation ya kujiunga na Tanganyika maanake wangekuwa na kila kitu including security.
 
Back
Top Bottom