Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You sure mnapendwa hapa Africa?

Bragging hadi vitu visivyo vyenu ili mradi muonekani wazuri, yaani mnatafuta kupendwa hata kwa vitu visivyo vyenu.

Usichekeshe walionuna.

Juzi hapa mkenya wa YouTube alikua anafanya misinformation kuhusu black Americans kuja Bongo, na kubrag about Kenya, baada ya kuona influx ya black Americans Tz.

Sometimes Fanya follow up ya jambo kabla hujaja kubishia.
Wewe uko brainwashed.😂😂😂
 
Leo nimekuwa Amboseli National Park

PXL_20240420_120643747.jpg
PXL_20240420_120647334.jpg
PXL_20240420_103055989.jpg
PXL_20240420_103507061.jpg
PXL_20240420_102825978.jpg
 

International law stipulates that whenever there is a water body shared or sandwiched between two countries the maritime border should be at the median of the lake. Malawi claims all the lake on Tanzanian side and says the border should be the beach on Tz side.
Yani mfano tu claim lake victoria halafu hapo Kenya muishie beach tuu msiguse maji yetu hii ni mikataba ya kipuuzi iliyoingiwa na wakoloni bila kuhusisha wahusika wenyewe.
Kama vipi wapeleke kesi kwenye mahakama za kimataifa mbona wana develop cold feet?
 
Kuhusu hilo la eti sijui kuiba vyenu na kuwaharibia jina.

Hivi jirani mgani tumekosana Naye? Hapo juu mnapost tussles zenu na Malawi alafu uongelee sisi kukosana na majirani?
I see.

Now nimeamini mko dunia yenu, na hamna follow up ya mambo.

Kwamba Kenya haijakosana na jirani?

Sawa mkuu endelea kuamini hivyo hivyo.
 
Sasa story imegeuka from utumizi wa water pressure hadi sisi 'hatuna vumbi kama lenu'

I was expecting unionyeshe water tankers getting rid of dust in your streets as you claimed. Kumbe ni story za vijiweni as usual!!!!
BONGO HATUNA WATER PRESSURE ZA KUSAFISHA BARABARAAA simple as that Umeridhika?
 
Back
Top Bottom