Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,759
Roho inakuuma nn? Au baada ya kugundua Nairobi haioni ndani kwa quality hotels za Zanzibar? BTW Kabla ya Muarabu unajua visiwa vile nani alikuwa anakaa? Unajua kabla ya Zanzibar Kilwa ndo ilikuwa mwamba wa ukanda woote wa East Africa! Muulize Ibn Batuta!Wewe ni kama Kima hivi. Nchi kubwa iliyo na resources nyingi haiwezi ikajiunga na nchi nyingine. Kanchi kadogo katakua more willing kujiunga na nchi nyingine. Ndio maana nakwambia kama Zanzibar Sultanate ingekuwa na ukubwa iliyokuwa nayo haingekuwa na motivation ya kujiunga na Tanganyika maanake wangekuwa na kila kitu including security.