Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ona ulivyo fala,kihistoria toka lini Kenya ikajulikana zaidi ya Tanzania!?
1)Julius Kambarage Nyerere ni miongoni mwa watu mashuhuri duniani na aliingizwa katika hilo jarida 1990s.Je kuna rais wa Kenya aliyeingiza katika jarida la viongozi mashuhuri duniani??
2)Tanzania inajulikana Afrika kama nchi iloongoza kupatia mataifa mengine uhuru.Ndio maana unakuta Tanzania katika masuala ya kidiplomasia inapewa kipaumbele kuliko Kenya,Tulitoa General secretary wa UN Asha Rose Migiro na sasa tuna RAIS WA WABUNGE AMA SPIKA WA BUNGE DUNIANI DR.TULIA AKSON.Je Kenya mmetoa mtu yupi mashuhuri zamani na sasa!?
3)Rais Samia ameingizwa katika list ya wanawake mashuhuri duniani kwa sasa na kote ulimwenguni inafahamika.Je mna mwanamke mashuhuri Kenya ambae kiongozi!?
4)Tanzania kimpira imefanya ijulikane na sasa hivi ina wafuasi wengi mpaka Spain mathalan Mussonda mchezaji wa Yanga aliletewa zawadi kutoka Hispania hivyo inamaanisha NBC PL inatizamwa.Vipi kuhusu ninyi!?
Hayo yanakutosha pambana na hayo kwanza.
Oneni huyu. 😀 😀
 
I told you Tanzanian army was the weakest in Africa. In KDF entire time in DRC hakuna Jessi aliyekufa at mmoja.

As for Tanzania ukiona wamesema anti watatu wamekufa just know that wenye wamekufa are more than 30 with another 300 injured.
Empty talker. Wapi evidence.?
 
Kwanza TID ndio nani? Secondly when did that idiot invented English words? Why are you forcing everybody to see your foolishness? Ati mtanzania ndiye aliyeandika kiingereza, maajabu 😂😂
Ikiwa ulijiona noma kwa kuvaa zile viatu za matairi, siwezi shangaa pia kuto kumjua TID. Bush boi a.k.a mtoto pori. 😂😂😂
 
80% ya Mombasa people r Bangladesh slum dwellers!
Kama unaona unajimudu na unaweza kuitetea mombasa dhidi ya Arusha city kwenye suala zima la makazi, twende ground tu, ukielemewa pia rukhsa kupost zile gorofa za 2 floors chakavu hapo Mombasa city center. 😂😂😂

Anafosi tufanane na hizo 2 floors chakavu buildings zilizosambaa mji mzima 😂😂😂. Kuna gorofa zisizozidi kumi tu zenye hauni hapo Mombasa, the rest ni takataka.

Chukua Mombasa+Kisumu+Nairobi+eldoret+Nakuru zote kwa pamoja njoo upambane na Dar na hio ruhusa nimekupa mm mwenyekiti😅😅😅
It will take Tanganyika a million years to have a second city like Mombasa beside your glorified fishing village aka Dar
images - 2024-04-10T122255.224.jpeg
img_2_1712741122947~2.jpg
images - 2024-04-10T121858.864.jpeg
images - 2024-04-10T123017.488.jpeg
images - 2024-04-10T122155.327.jpeg
images - 2024-04-10T115849.469.jpeg
images - 2024-04-10T121622.500.jpeg
images - 2024-04-10T121152.347.jpeg
images - 2024-04-10T115953.345.jpeg
images - 2024-04-10T120955.199.jpeg
images - 2024-04-10T120549.091.jpeg
images - 2024-04-10T114800.123.jpeg
images - 2024-04-10T114827.093.jpeg
images - 2024-04-10T115331.695.jpeg
istockphoto-1455430684-1024x1024.jpg
images - 2024-04-10T115637.087.jpeg
Screenshot_20221007_055210.jpg
1712698936341.jpg
1698560426781.jpg
 

Attachments

  • images - 2024-04-10T121622.500.jpeg
    images - 2024-04-10T121622.500.jpeg
    92.3 KB · Views: 6
Hiyo mitaa ulitembea kwa miguu??
Hakuna sehemu ilokosa barabara ya rami na hakuma sehemu nyumba hazijapangika.
Hayo maeneo hakuna uswazi.
Ukitaka twaweza kukuletea picha za chini uone.
Sasa kama mtaa wenu wa kifahari kuliko zote Masaki ndio Kuna Barabara za vumbi sasa hapo zitakosekanaje?
 
Cha ajabu hao hao wenye mapanga wameua mwanajeshi wenu na mumewaogopa mkahepa Congo. 😂😂😂
Wanajeshi wetu wepi waliualiwa Congo wewe bongolala? Unafikiri waoga wenu wakiluliwa Kwa panga sasa majeshi yote mengine yako hivyo?

Do you have any evidence?
 
Back
Top Bottom