Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyinyi tayari mshapoteza 30 soldiers. Hakuna kitu mbaya kuwa na weak and poor army at the same time.
Mwanzo ulisema hamkupoteza mwanajeshi hata mmoja, umepawa evidence kuwa mmepoteza umeanza kuweweseka.
Mmepotezaje mwanajeshi wakati mlikuwa mnajifungia tu kambini!
Wapi evidence ya kupoteza wanajeshi 30!
 
Huyo aliyeandika hilo bango amecopy kutoka kwa TID na kubadili baadhi ya maneno kuendana na kilichopo.
Ficha ujinga popoma.
Kwanza TID ndio nani? Secondly when did that idiot invented English words? Why are you forcing everybody to see your foolishness? Ati mtanzania ndiye aliyeandika kiingereza, maajabu 😂😂
 
Mwanzo ulisema hamkupoteza mwanajeshi hata mmoja, umepawa evidence kuwa mmepoteza umeanza kuweweseka.
Mmepotezaje mwanajeshi wakati mlikuwa mnajifungia tu kambini!
Wapi evidence ya kupoteza wanajeshi 30!
Na ndio kichapo kimeanza. Kwanza I’m hao wanajeshi wa Tanzania wenye wamekufa walikatwa tu kwa mapanga.
 
Kwahivyo huyo sijui CID ndio muanzilishi au ana patent ya hayo maneno. Stupid modafaka💩
Huyo ni mmoja wa watanzania wajinga zaidi hapa JF, kazi yake inakuanga kukesha twitter akifuatilia tweets za wakenya.
 
Back
Top Bottom