Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Aliyekuzuia kuweka nani bongolala?Nikiweka picha ya zile nyumba za udongo kule mombasa utajicheka. Hakuna nyumba za udongo Arusha. 😂😂😂.
Aliyekuzuia kuweka nani bongolala?Nikiweka picha ya zile nyumba za udongo kule mombasa utajicheka. Hakuna nyumba za udongo Arusha. 😂😂😂.
Hapo vipi mkuu.? 👇Hii Arusha ama kuna Arusha nyingine?View attachment 2959753
Unguja City and Arusha city zote ni bora kuliko hiyo Mombasa. Kitu chenye kinaifanya mombasa kuwa relevant ni hiyo bandari tu in case you don't know. Otherwise Mombasa ni kilwa iliyochangamka 🤣🤣Aliyekuzuia kuweka nani bongolala?
Fala nini!Wanajeshi wetu wepi waliualiwa Congo wewe bongolala? Unafikiri waoga wenu wakiluliwa Kwa panga sasa majeshi yote mengine yako hivyo?
Do you have any evidence?
Yani huo mshahara madaktari wetu wanakataa na kuugomea kisa ni mdogo, madaktari wenu wanaukimbilia. Halafu tukiwaambia nyinyi bado sana kwetu mnasema tunapenda sifa.
Unapost hii picha ya Majengo hapaHapo vipi mkuu.? 👇View attachment 2959763View attachment 2959765View attachment 2959766😂😂😂 hii mombasa ni Zanzibar iliyokosa five star hotels.
Wewe kijana mdogo huwa unapata wapi nguvu za kuongea na kando ya Mwanza na Dar hamna mji mwengine ulioutembea?Unguja City and Arusha city zote ni bora kuliko hiyo Mombasa. Kitu chenye kinaifanya mombasa kuwa relevant ni hiyo bandari tu in case you don't know. Otherwise Mombasa ni kilwa iliyochangamka 🤣🤣
Achana na huyo anajitekenya. Eti analinganisha Mombasa na Kijiji cha wavuvi cha Zanzibar!!Wewe kijana mdogo huwa unapata wapi nguvu za kuongea na kando ya Mwanza na Dar hamna mji mwengine ulioutembea?
Tuseme onion zikitoka china hua zinapitia Kenyatta int airport au??😂😂😂😂😂Kwa hivo vitunguu huwa vinapitia Mombasa Port? Ndio maana ukafukuzwa Yemen.
Haina hata bus terminal 😂😂😂 na mpaka Leo inanyumba za udongo Yani kamasi juu ya uharoHapo vipi mkuu.? 👇View attachment 2959763View attachment 2959765View attachment 2959766😂😂😂 hii mombasa ni Zanzibar iliyokosa five star hotels.
🤣🤣 Mimi ninazo picha za kila mji nilioitembelea, nimetembea majiji yote Tz kasoro mbeya tu, na nimeishi Arusha, Tanga (home), Dar es salaam na Mwanza. Ila ukitaka picha za miji niliyotembelea pia ninazo. Naijua Tz vyema mno. Kula chuma hizo👇Wewe kijana mdogo huwa unapata wapi nguvu za kuongea na kando ya Mwanza na Dar hamna mji mwengine ulioutembea?
Zanzibar ina 5 star kuliko sehemu yeyote EA!Achana na huyo anajitekenya. Eti analinganisha Mombasa na Kijiji cha wavuvi cha Zanzibar!!
Sasa kama Mwanzacna Arusha ndio zimekosa majibu Kwa Mombasa hizo sijui Zanzibar mara Kilwa zitapata nguvu wapi?
Does that change the fact that it's an uswazini town just like Dar? Ama ubora wa mji ni mahoteli tu?Zanzibar ina 5 star kuliko sehemu yeyote EA!
![]()
Mombasa and Zanzibar Beach Lodges comparison
www.jamiiforums.com
FYI Zanzibar ina 5 star nyingi kuliko sehemu yeyote EA! Wakati Mombasa haina hata moja!Achana na huyo anajitekenya. Eti analinganisha Mombasa na Kijiji cha wavuvi cha Zanzibar!!
Sasa kama Mwanzacna Arusha ndio zimekosa majibu Kwa Mombasa hizo sijui Zanzibar mara Kilwa zitapata nguvu wapi?
Ebu leta picha za hizo real estate Zanzibar tucheke kwanza ndio twende kwenye hayo mambo mengine uliyotajaFYI Zanzibar ina 5 star nyingi kuliko sehemu yeyote EA! Wakati Mombasa haina hata moja!
Airport ya Zanzibar is way more moderner than ule Ukurutu wa Mombasa!
Real estate Ndo kabsaa ufunge hiko kishuzi!
Sports facility Mombasa haioni Nani kwa Zanzibar!
![]()
Mombasa and Zanzibar Beach Lodges comparison
www.jamiiforums.com
Haya Anza kucheka kabla sijakupa kibano kingine 😂😂😂👇👇👇Ebu leta picha za hizo real estate Zanzibar tucheke kwanza ndio twende kwenye hayo mambo mengine uliyotaja
Peleka ujinga kule wee mzee, Nairobi has the most 5 star hotels in East Africa.FYI Zanzibar ina 5 star nyingi kuliko sehemu yeyote EA! Wakati Mombasa haina hata moja!
Airport ya Zanzibar is way more moderner than ule Ukurutu wa Mombasa!
Real estate Ndo kabsaa ufunge hiko kishuzi!
Sports facility Mombasa haioni Nani kwa Zanzibar!
![]()
Mombasa and Zanzibar Beach Lodges comparison
www.jamiiforums.com
Pitia hiyo link!Ebu leta picha za hizo real estate Zanzibar tucheke kwanza ndio twende kwenye hayo mambo mengine uliyotaja