ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Mm situmii rocket science kukujibu ila nakujibu na evidence ndogo Sana na kama hujaelewa nenda kadai pesa yako shuleni kunguni wewe😆😆👇You haven't answered my question.
Kwasababu Tanzania imepokea watalii 1.8m wakat nyinyi munasema mumepokea 1.9m SASA nashangaa kuona Tanzania imekusanya 3.41b USD wakat Kenya imekusanya 2.7b USD, au nahili pia unahitaj uwe na rocket science??🤣🤣🤣🤣🤣
Unless unambie mumepika data mayb mumepokea 1.2m munadanganya mumepokea 1.9 then hapo ni sawa 😆😆😆 na sitoshangaa kwasababu ni kawaida kwenu