Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya mtu huweza akaorder mabus 20 bila fujo. Tena yanadesainiwa na kutengezwa hapa Kenya bado
View attachment 2954965View attachment 2954967
Kenyan built buses at Mombasa

1712323390986.jpg
 
Mamelody budget ni 91b wakati yanga budget ni 23b SASA tumia akili ya kawaida na hapo yanga katoka kwa penalty na goli la halali limekataliwa πŸ˜…πŸ˜…πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 2954986
Excuses za ujinga hizo. Kwani budget ndio inacheza mpira?

Take Chelsea for example, wako na budget almost more than all football clubs in Europe yet inachapwa hadi na timu ndogo kama Middleborough.
 
Excuses za ujinga hizo. Kwani budget ndio inacheza mpira?

Take Chelsea for example, wako na budget almost more than all football clubs in Europe yet inachapwa hadi na timu ndogo kama Middleborough.
Ww ni mpuuzi mamelody kuna wachezaji wametoka Chile na Brazil wanalipwa alot of money unafananisha na yanga πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Goli hili hapa halali kabisa πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ Africa kuna vituko Sana
 
Nimekuuliza swali waziri kasema viwanja vilivokamilika ni vitano kimoja wapo ni mwanza SASA nakuuliza kiwanja cha mwanza kimekamilika kitu gani ?? Kwann inatumika nguvu kubwa Sana kuamisha watu hvi ?? Hakuna MTU hataki KAZI iendelee lakini how waziri anaongea maneno kama hayo wakat ukweli anaujua, inafkirisha Sana
Kufungwa taa na maboresho ya runway.
 
Ww ni mpuuzi mamelody kuna wachezaji wametoka Chile na Brazil wanalipwa alot of money unafananisha na yanga πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Goli hili hapa halali kabisa πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ Africa kuna vituko Sana View attachment 2955004
Cha muhimu ni eti mumeshindwa. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Swallow your tears toilet boy. Hahahahahahaha
 
Back
Top Bottom