Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawaifuatilii Tanzania wakati wanamjua hadi huyo dj. 😂😂😂
Wanajifanya hawamjui 😁😁😁 jamaa kashachukua pesa zake anaondoka
Screenshots_2024-04-03-17-24-33.png
 
Wanajifanya hawamjui 😁😁😁 jamaa kashachukua pesa zake anaondoka
View attachment 2952959
Alafu wanatakiwa wajifunze namna ya kupenda vya na kuvifanya viwe special. Dj ALLYB ni mtanzania wala hafanyi kazi hizo nje ya nchi ona tunavyomthamini na kukubali anachokifanya mpaka anakuwa star mkubwa hivyo.
Sisi ndio Tanzania tuliitikisa mpaka Aston villa wakajua sis ni kina nani.
 
Back
Top Bottom