chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
Ukitajiwa budget zake utakaa chini kwanza 😁😁😁Hizi ni multbillions project za manyang'au
Ukitajiwa budget zake utakaa chini kwanza 😁😁😁Hizi ni multbillions project za manyang'au
Nyoko wewe kuna shs imedorora kama ya Kunyaland?Hujajibu swali. Ukikopa ufanye maendeleo shilingi inazorota wakati yule amekopa kulipa madeni inapanda?
ImeingiaAs usual, always competing with Kenya. Ndio maana Google analytics zinasema Kenya is the most Googled country in Tanzania.
Such silly comment. Sikujua kuwa una IQ ndogo kiasi hikiLake Turkana is a salty lake you idiot. It can’t be used for domestic purposes unless distillation ifanyike.
Post exchange rate ya Kes vs Tshs tuoneNyoko wewe kuna shs imedorora kama ya Kunyaland?
Ngoja nikuache naona akili yako imejaa kamasi, Kenya imekopa mikopo miwili tofaut mkopo wa Kwanza 250b kwa ajili shillingi yenuTulikuwa tunaongelea kukua kwa shilingi ya Kenya ukasema inakua kisa tunakopa. Halafu umesema tunakopa kulipa madeni whili nyinyi mnakopa kufanya maendeleo. Ndio nimekuuliza, hivi mkopa wa maendeleo unazorosha shilingi wakati mkopo wa kulipa deni unaipa nguvu? Swali rahisi. Wacha kukimbiakimbia.
hawa jamaa kuna kitu wamemkosea mungu si bure.
Wakundustan wa JF: hatufatilii Tanzania kabisa
Wakundustan wa kundustan :
View: https://www.instagram.com/reel/C5GzFxUs6yI/?igsh=d2t4aHhzNHJ4YWM0
Baada ya kukopa sio Ndo Kshs ika-stabilize?Post exchange rate ya Kes vs Tshs tuone
sipati picha nataka aweke ile picha ya yule joka na hii hapo chini yake awatishe kwa muda wasiingie tena JF.
sashakimbiana kuna mmoja kule kwenye jukwaa l;a tren alisumbua week kadhaa sasa toka imepostiwa leo simwoni kabisa.Makundurenda yapo?
yeees finaly picha itumike sasa mjoka umefika. Tuleteeni na hizo povu zao huko X.Tumewat.ombaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2952295
Tuliwambia waliwakuta wazee wetu ni wapole na waungwana tukaja sisi tuaanzana nao na kuna kizazi tulikuwa tunakipa darasa how to defend their country sasa ndio wam eanzia huko tiktok hawashikiki.siku mojamoja huwa napita mtandao wa tiktok,isee kuna madogo wa kitz wanawapelekea moto sana kule vijana wa kikenya mpaka huruma.
yaani huu mnyukano wa wakenya na watz hapa jf kule tiktok ni mara mbili yake.
Sasa si inategemea Ukubwa wa Uchumi wa Nchi ya Zanzibar.Miezi Tisa billion 559 utafanisha na trillion 2.2 kwa mwezi au hizo akili umekalia?
Sasa huoni town yote stood still wanampokea DJ tu wa mitandaoni, angekua musician ingekuwaje? 😁😁Bro, anybody can hire a convoy of vehicles and drive through a city. How does that prove mnafuatiliwa?
Usijesababisha wakenya wakaleta vichwa vya treni zao Sido viongezewe puawalifikiri tunatania sisi sio wao na serekali yetu tunaiamini na huwa hawakurupuki na kuahidi kitu ambacho hakipo.
Hata Israel ni jangwa na amegeuza maji ya chumvi ya bahari kuwa maji bora ya kunywa na analima kilimo na kulisha dunia. Acha sababu nyepesi vp mlioombewa kazi na raisiwenu waambieni watawapa hins za huko wawaambie jinsi jangwa limekuwa kijani.Lake Turkana is a salty lake you idiot. It can’t be used for domestic purposes unless distillation ifanyike.