Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Kuna transformation kubwa inayoendelea Kariakoo kwasasa, so many buildings zinajengwa saa hii
Kuna transformation kubwa inayoendelea Kariakoo kwasasa, so many buildings zinajengwa saa hii
Vululu Vululu 😁😁😁waliniacha hoi walivyojenga barabara katikati kuna nguzo za umeme nlicheka kidogo nizimie.
Hapa hatutumii hisia wewe myemen. Hapa tunatumia factsWell paid by who wakat wako barabarani njaa tupu hata working environment sio salama kwao 🤣🤣🤣🤣🤣
These doctors are striking because of a number of reasons.Well paid doctors are stricking patients are dying .
Sasa GDP inawalipa wa nini wakati wamekimbiza wagonjwa Kisa njaa Kali? 😂😂😁😁😁😁😁
What the heck is stricking? Kinyamwezi hiyo ama?Well paid doctors are stricking patients are dying .
Sasa GDP inawalipa wa nini wakati wamekimbiza wagonjwa Kisa njaa Kali? 😂😂😁😁😁😁😁
Atakuambia hiyo ni Dar ya 90s ama hata akatae kabisa hapo sio Dar 😂Wewe unaweza nipata kweli, hauna uwezo wowote mbali na domo domo shoga lizee 😛., ondoeni uswazi Dar karibia 90% kisha uje tusemezane.,
ondoeni huu ushamba eti makazi ya middle class.., taifa ni aibu kila kona, hamuwezi kuficha haya machoni pa wageni, uswazi imetapakaa hazifichiki, afadhali slums in nairobi lazima utafute😛😛😛., Eastlands ya dar.
View attachment 2951885
Maana halisi ya third world country.
Striking ila ujumbe umefika kwamba GDP imeshindwa kuwalipa 😁😁What the heck is stricking? Kinyamwezi hiyo ama?
Wakenya hawana akili mkuu.
Unavuta bangi za kibera, Doctors Wetu are well paid ndio maana huwasikii wakigoma plus benefits kibao.These doctors are striking because of a number of reasons.
Ungefanya vyema kama ungethibitisha kwamba madaktari wa Tanzania wanalipwa mishahara minono kuliko wa Kenya. Ulichokifanya ni kuleta hisia humu
Jibu lako ni moja tu, kwamba watanzania wanaishi maisha marefu kuliko wakenya, hii manaake watanzania wana lishe bora, wana furaha kuliko wakenya, n.k 👇👇Hii World Bank haipendi Tanzania kamwe, inawaonea, wanavuta mkia ukanda huu kwa HDI.., Mifukara kuruka, Report inaongelea Masomo ni duni, sector ya Afya bado sana., ufukara ndio umeongezeka zaidi.., yaani Tanzania is behind Uganda and Kenya na bado wanabweka humu..,
View attachment 2951761
Nilipenda vile serikali yao ilijaribu kujitetea kutokana na hii aibu.., taifa halikufunga but mifukara waliongezeka kwa wingi kwanza mwaka jana, hawakukua na maandamano lakini wapi! mizembe, watu bladfwakin kabisa😛😛.., health sector bado ni hovyo, kumbe ni vipicha tu wanatuwekea humu but empty services.., haitoshelezi mahitaji,
Masomo ndio msiseme, academic dwarfs wa EAC, uchumi hafifu..,
View attachment 2951770
Wengi bado wanaanguka kwa ufukara..,
View attachment 2951772
View attachment 2951773
Kisha wakulima wao ndio mafukura wa kutupwa, eti wanalisha Kenya, huwa narudia mara kwa mara tusiponunua mazao yao hawa kwisha, hawajiwezi ata kununua chumvi itakua kero.., kile world bank hawakumention peupe ni an external factor yenye ita affect wakulima wa Tanzania ni Kenya kukua na bumper harvest, mwaka jana tulivuna sana, so sijui kama mkulima wa Tanzania ako na ukombozi.., soko hakuna
View attachment 2951778