Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shilling yenyewe inayotegemea mikopo ili ikae sawa 🤣🤣🤣 baada ya 250b ksh haya mkopo mwengine huo 158b ksh na bado mutasema Tu na tutaelewana, nchi imeoza inanuka uvundo wakila aina


View: https://twitter.com/Kenyans/status/1775140159429697563?t=Tb2RN5UaQUWZPF2Wo3juJA&s=19

View: https://twitter.com/Nicki445100291/status/1775417546344157270?t=RrM5dyA08FhOjrGWy0iO9Q&s=19

Mbona nyie mnachukua mikopo ilhali shilingi yenu bado hafifu? Mnafanyia nini mikopo yenu?
 
Ata ifike 110%
Shida ya transmission haitaisha.
Giza mtakula bado unless mbadilishe hao mafisi wa ccm kama Senegal
Nchi Bure sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ww anafkiri tunajenga bwawa kubwa kama Hilo lenye thamani ya 3b USD bila transmission unatuona Sisi vichaa au?? Ikiwa kupeleka umeme vijijini Tanzania ndio inaongoza Africa na mwaka I vijiji vyote Tanzania nzima vitakua na umeme na hapo hapo utambue Tanzania ni kubwa mara mbili ya Kenya
 
Sisi tukichukua mikopo ni either ya elimu au maendeleo nyinyi VP Huko?🤣🤣🤣 Taking loan from Aisha to pay Hamisi
Kwa hivo ya kulipa madeni inafanya shilingi ikue na ya maendeleo inafanya shilingi izorote ama unajaribu kusema nini wewe kijana wa chumba cha kunya?
 
Back
Top Bottom