Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa huoni town yote stood still wanampokea DJ tu wa mitandaoni, angekua musician ingekuwaje? 😁😁
I don't see any interest. Watu wamesimama tu Ila hakuna Ile kuonyesha excitement. Ukweli ni kuwa convoy kama hiyo ikipita lazima watu watasimama kuangalia. Hata mimi nikihire convoy nipite katikati ya mji wowote hapo Bongo watu watasimama.......alafu nikitazama sura za wengine ni kama zinauliza swali huyu Ni mwendazimu yupi? Halafu jamaa mwenyewe amekazana kutokea juu ya sunroof akitupatupa mikono ilhali watu wanaangalia tu, hamna hata excitement. Wanashangaa huyu Ni Nani.🤣🤣
 
I don't see any interest. Watu wamesimama tu Ila hakuna Ile kuonyesha excitement. Ukweli ni kuwa convoy kama hiyo ikipita lazima watu watasimama kuangalia. Hata mimi nikihire convoy nipite katikati ya mji wowote hapo Bongo watu watasimama.......alafu nikitazama sura za wengine ni kama zinauliza swali huyu Ni mwendazimu yupi? Halafu jamaa mwenyewe amekazana kutokea juu ya sunroof akitupatupa mikono ilhali watu wanaangalia tu, hamna hata excitement. Wanashangaa huyu Ni Nani.🤣🤣
Msingetumia gharama yote hiyo kumleta mtu ambae hata payback cost of investment na profits ya kutosha unless hujui kama hiyo ni investment, mmemleta sababu mnajua kuna fans kibao wanamuadmire huko mashinani kwenu na ni marketable hiyo sio charity mzee, Tanzania ni nchi mnayoikubali sana na kuifatilia in details kataa kubali, mara ya mwisho msanii mkubwa kutoka kwenu sijui alifika lini Tanzania na mmekua mkilalamika kwanini Tanzania haireciprocate love mnatoa kwetu lakini bado hamjui tunachokitaka
 
Msingetumia gharama yote hiyo kumleta mtu ambae hata payback cost of investment na profits ya kutosha unless hujui kama hiyo ni investment, mmemleta sababu mnajua kuna fans kibao wanamuadmire huko mashinani kwenu na ni marketable hiyo sio charity mzee, Tanzania ni nchi mnayoikubali sana na kuifatilia in details kataa kubali, mara ya mwisho msanii mkubwa kutoka kwenu sijui alifika lini Tanzania na mmekua mkilalamika kwanini Tanzania haireciprocate love mnatoa kwetu lakini bado hamjui tunachokitaka
I don't even know this guy? At first I thought it was Harmonize because of the background song. 🤣 🤣 🤣
 
Daily dose imepotelea wapi??🤣🤣🤣🤣
Teargas nairobae
Screenshots_2024-04-03-17-01-05.png

Screenshots_2024-04-03-17-13-05.png
 
Msingetumia gharama yote hiyo kumleta mtu ambae hata payback cost of investment na profits ya kutosha unless hujui kama hiyo ni investment, mmemleta sababu mnajua kuna fans kibao wanamuadmire huko mashinani kwenu na ni marketable hiyo sio charity mzee, Tanzania ni nchi mnayoikubali sana na kuifatilia in details kataa kubali, mara ya mwisho msanii mkubwa kutoka kwenu sijui alifika lini Tanzania na mmekua mkilalamika kwanini Tanzania haireciprocate love mnatoa kwetu lakini bado hamjui tunachokitaka
Hawaifuatilii Tanzania wakati wanamjua hadi huyo dj. 😂😂😂
 
sawa wewe unanini ili tukusifie tuanzie hapo. Treni mchongoko umeiona ikishushwa bandarini lakini?
 
Back
Top Bottom