Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watakuambia unatafuta validation kumbe ni wanaumia wakenya wenzao kufuatilia mpira wa Tanzania. 😂😂😂
Hata wao pia wanafuatilia, kuna mnuka mavi mmoja huwa anapost matokeo ya timu ya Tanzania kila inapofanya vby, anaangalia game kupitia Azam decorder zen matokeo yakiwa hovyo anapost humu, alafu huyo huyo anakuambia hafatilii mpira wa Tanzania.
 
Yet mmejazana hapa hamtoki.😃
Jamiiforums ni ya mtanzania usitupangie tuwe jukwaa gn, nyie ndiyo muondoke humu, kwani nyie hamna platform kama hii huko kwenu? Mpira mnaufatilia wa Tanzania sisi hatufuatilii wenu, muziki mnaufatilia wa Tanzania cc hatujui hata wasanii wenu, kila kitu mnafatilia cha Tanzania wanuka mavi nyie.
 
Compare and contrast


Makwapa Stadium
View attachment 2950097


Kasarani Stadium

View attachment 2950101
Ushamba ni mzigo.

Bila shaka unadhani hizo pits zimejitokeza tu bila kufanyiwa maintenance.. hizo pits zinatumika kwa michezo ya LONG JUMP
Screenshot_20240331-175807_Chrome.jpg
391ab6430257a43a170fd7c7bc26b30a.jpg
2625049409_a4fcc3e9a6_b.jpg
 
Siwezi tafuta validation kwenye nchi inayofuatilia Tanzania 24 hours.
That’s called projection… you are accusing others of the shit you usually do… reverse psychology…. We ain’t falling for that… We know you… Do you know I get my news about Kenya from this forum?… Go figure…🤣🤣🤣
 
Visa vya Tanzania vingi havikuangi reported. Your government is known for dscouraging reporting of negative news about your country.
You serious, Vya usalama? Na unasema Vingi kabisa, kuna mitandao huwezi dhibiti especially JF lazima tupate, alafu usalama sio ishu ndogo, unataka bila reporting watu watajuaje?.

Kibiti, Mapango ya Amboni, Nyakanazi, Mtwara(Msumbiji), Pori la Loliondo, Kanda ya Ziwa.

Matukio yote ya kutumia silaha yalilipotiwa unless mkuu hufatilii.
 
Back
Top Bottom