Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nyinyi hamna stadiums Tanzania tofauti na Makwapa Stadium na hile tent ya Zanzibar.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hawa nyang’au wameumia sana🙂
 
Karen access roads

1.png
 

Walikuwa wengi sana jana wakaweka na bendera zao, pia wanyarwanda, waganda, wacongo wote walikuwepo siku ya jana, hizi timu zetu Simba na Yanga zina mashabiki wengi East and central Africa na ndiyo maana ni timu tajiri ukanda huu na jinsi tunavyoenda zitazidi kuwa tajiri mana kina Hersi washaona fursa.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Okay, ila still huwezi compare this na insecurities inayoendelea huko kwenu mwaka mzima sehemu ile ile habari ile ile, hapa ni nadra, ukitoa ya huyo iliyowahi sikika ni ya HAMZA 2021.
Kenya Kuna sehemu mbili huwa zinaface insecurities occassionally. North Eastern sababu ya alshabaab na Baragoi sababu ya Cattle Rustling. Hizi sehemu pia ni name na hazina watu wengi otherwise Kenya is very safe. Ikumbukwe pia Kenya ndio kiongozi wa media freedom hii region kwa hivo unlike nyinyi wenye visa vingi vinakuwa unreported, hapa Kenya hata mtu mmoja akiuawa inakuwa news all over.
 
Back
Top Bottom