Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This is the venue for the final game of the tournament. Lia kama unataka.

Fs6RlSprM0Lx7JT41T85GRaiNPBJzkA4Du1kWNJsG1JsFBC0eQRPT4QEWr3cCM8W6Nc_Sb4FQYii8QqzdJbX4QtguQSL-EUb0cqors4k7g=s750
Bro, hii pekee wamehema, acha tuongeze dawa, maumivu yakizidi, waone daktari

View: https://www.instagram.com/reel/C5DjhwuoKUr/?igsh=NWNueHdtYTMzMXM1
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Tropic Air Kenya just launched in Tanzania i think last year, sasa umekuja kuturingia. That is owned by a Kenyan my friend. Subsidiary of tropic air kenya πŸ˜‚
🀣 🀣 🀣 🀣 Empty word kama kawaida yako
 
Regional Air Services

CONTACT US

P.O.Box 14755β€š Arushaβ€š Tanzania
SABLE SQUAREβ€š NGARAMTONI CHINI
RESERVATIONS
email:resvns@regional.co.tz
Mobile: +255 675 285 753 / 754 285 754.
Skype: regionalair.reservations
OPERATIONS
email : ops@regional.co.tz
Mobile: +255 678 621 102 / 753 500 300
Skype: regionalair.operations

View attachment 2946671
Are you kidding me πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ this is a subsidiary of Air Kenya which is owned by the kenyan tycoon Nicholas Biwott 100%
πŸ˜‚πŸ˜‚
.. basically Tanzania mko na air baloons izo zingine zoote ni kenyan owned. You are just proving us daily that Kenya owns you

Compare the logos πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
1711628870060.jpeg
 
Hizo ni insecurities zenu. Mbona Uganda wasilalamike?

1. EAC ilivunjwa kisa hakukuwa na maelewano. Huwezi laumu Kenya wakati kutoelewana kulitokea pande zote. Hatukuiba ndege, tulichukua ndege kulingana na shares tulizokuwa nazo. Kwa East African Airways, Kenya ilikuwa na 67.7% shares Tanganyika ikawa na 9% Uganda 22.6% na Zanzibar 0.7%. Ulitegemea tugawane visawa wakati sisi tuna shares nyingi? Cha kushangaza, Waganda ambao walikua na shares nyingi kumshinda hawalalamiki ni nyinyi tu kisa mmeaminishwa na wanasiasa wenu na chuki zenu.

2. Maandamano ya EACOP hayakufanywa na Wakenya, yalifanywa na watetezi wa mazingira. Yalifanyika UK na France. Tena wanasiasa wenu wamemuaminisha ni Kenya. Shida yenu hamuelewi jinsi ulimwengu unavyosonga. Kwa nchi zilizo na uhuru wa kujieleza huwezi jenga mradi wa kiwango hicho na kusikuwe na maandamano ya watetezi wa Mazingira - hapa Kenya kabla SGR ijengwa kulikuwa na maandamano - same na Thika road, Expressway n.k. Miaka ya 1990s, Moi alitaka kujenga jengo refu zaidi Afrika pale Uhuru Park la gorofa 70, wanaharakati waliandamana hadi hilo jengo halikujengwa. The same Moi alitaka kukata misitu wa Karura na Ngong iliyoko Nairobi ili kujengwe majengwa, wanaharakati wakiongozwa na Hayati Pro. Wangari Maathai waliandamana hadi wakapinga na Wangari Maathai alipata Nobel Prize juu ya hayo na akawa mwanamke wa kwanza Afrika kupata tuzo hilo.

3. Sijui unamaanisha nini na kupotosha ukweli. Shida yenu huwa hampendi kukubali ukweli alafu kila kitu mtalaumu Wakenya, sijui mna akili za kitoto ama vipi. World Bank ikitoa ripoti isema Tanzania ni bora kuliko Kenya kwa sector fulani, mtashangilia kila mahali hadi kwa socia media ndio kitu mtaongelea. The same World Bank ikitoa repoti eti Kenya ni bora kwa Tanzania kwa lingine mnaanza eti ooh Wakenya wanapotosha ukweli, ooh wanacook figures waonekane bora kutushinda. Yani huwa mnatia huruma sana.


Wee mwenyewe ukichunguza vizuri kwenye huu uzi walio na chuki ni kina nani? Saa hii tunabanter ni nchi gani itakuwa more prepared for AFCON ila wakati zetu ni banter tu, kwenu ni full chuki hadi mnaomba tukuwe banned ama tusiwe na uwezo wa kuandaa.
Wacha ujinga, by that time Tanzania ilikuwa na uchumi mkubwa EA alafu iwe na 9% EAC kamuongopee nyanyaako shamba.
 
Broo, kuenda hoteli ya kifahari na kubaguana wapi na wapi? Ukiwa na pesa utaingia hoteli yoyote ya kifahari. Unaona jinsi banter zenu zilivyojaa chuki ndani yake?

La pili unasema nyinyi wote mnaweza enda 5* hotel? Alafu bado unasema banter zenu zinaonyesha hali halisi ilivyo? Huoni kama unajikanganya? Kama nchi tajiri kama Marekani sio wote wanaoweza kuingia 5* hotel wakakula sasa fukara kama Tanzania wanaweza? Huoni aibu kusema haya after kuniambia eti banter zenu zinaonyesha hali halisia? Kenya kuna wapandaji ndege wengi kuliko Tanzania mara nyingi yet most Kenyans can't afford to use air transport halafu hapo Tanzania kwenye mnacheza catch up unaniambia wote wana uwezo? Wacha unafiki bro.
Mbona unalalamika lalamika kama mtoto wa kike, kaza wewe wacha kujilegeza, hii battle mliitaka wenyewe mkidhani sisi size yenu.
 
Broo, kuenda hoteli ya kifahari na kubaguana wapi na wapi? Ukiwa na pesa utaingia hoteli yoyote ya kifahari. Unaona jinsi banter zenu zilivyojaa chuki ndani yake?

La pili unasema nyinyi wote mnaweza enda 5* hotel? Alafu bado unasema banter zenu zinaonyesha hali halisi ilivyo? Huoni kama unajikanganya? Kama nchi tajiri kama Marekani sio wote wanaoweza kuingia 5* hotel wakakula sasa fukara kama Tanzania wanaweza? Huoni aibu kusema haya after kuniambia eti banter zenu zinaonyesha hali halisia? Kenya kuna wapandaji ndege wengi kuliko Tanzania mara nyingi yet most Kenyans can't afford to use air transport halafu hapo Tanzania kwenye mnacheza catch up unaniambia wote wana uwezo? Wacha unafiki bro.
Jitahidi kujifundisha kiswahili.

Ninyi(Nyinyi) Huwa inaenda na neno Nyote. Kwahiyo unatakiwa uandike "Unsema Ninyi Nyote...." Lakini kama unataka kutumi neno Wote. Inatuwa: "Wao Wote".
Kiswahili ni Lugha inayotumia Kanuni; Nitofauti kabisa na Lugha ya Kingereza ambayo mara nyingi unakariri
 
Back
Top Bottom