Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
We have conquered SADC😎
Huyu jamaa anaongea ama anaropoka!?😂😂😂😂😂😂😂😂.🤣🤣🤣 Wow.!
What is 4 nations tournament???We have conquered SADC😎
View attachment 2945455
Kosugi hamna mahali nimeandika FIFA series haina point na hakuna kitu Kama vice versa manake hata sisi tumevuna pointsWe jamaa mbona unaropoka??
Mashindano ya Fifa series yana point ya kuongeza katika Fifa rank.
Na Mongolia nimemfunga goli tatu tarajia point ziongezeke kima wewe.
Unaongea vise versa.
Kama ni rahisi na ww shiriki tuone basi, acheni kubeza kitu wakat hakijawafikia kisa Adui yako anacho ndio uponde wakat mwengine mukubali ukweli 🤣🤣🤣🤣🤣Najua wewe bado bamdogo lakini usiwe mpumbavu kiasi hiki, FIFA series ni tournament ya kawaida sana hakuna kitu special ndani yake especially kundi lenu ambalo lina Mongolia na Bulgaria. Mechi zote za friendly Kati ya mataifa zinakua sanctioned (kutambulika) na FIFA na kwahivyo 4 nations tournament ambayo tumeibeba Leo inahesabika Kama points kwa harambee stars. Nyinyi mmeshiriki FIFA series lakini mmechezea kichapo kwahio tarajia kushuka.
We hua fala sana kwani unadhani friendly matches hua hazitambuliki na FIFA, rank lazima tupande usiwe pumbavu ju hata hio FIFA Series muncheza ni friendly matches tu.Wengine wanajipa faraja kwamba watapanda rank za FIFA kufikia nafasi ya 100 lakini ajabu ni kwamba team yao haishiriki mashindano ya kimataifa, sasa najiuliza, je hizo ranks za fifa watapanda kwa ngazi au watapanda kama vile wanavyopanda matatu 🤣🤣🤣. Hawa watu ni maneno matupu bhana khaaa!!
Cc mwaiofhawaii Reborn Ktb ndugu yenu ameomba Argentina huyu bwana nairobae 🤣🤣🤣
Haya bhana kila la kheri, ila mjue kwamba baada ya mashindano ya FIFA series jamaa wata'update tena zile rankings, na si mnajua kwamba nyinyi hamjashiriki.? 🤣🤣
Wewe sasa ndo kumba kumba afadhali sama boy, hujui lolote lakini maneno meeengi Kama dadako. Sasa nani aliekudanganya hio FIFA series ilikua na qualifications, si mlipewa mualiko ili mujaze quota ya kikanda.Kama ni rahisi na ww shiriki tuone basi, acheni kubeza kitu wakat hakijawafikia kisa Adui yako anacho ndio uponde wakat mwengine mukubali ukweli 🤣🤣🤣🤣🤣
Ili ww upande tuoneshe ni mashindano gani nyinyi munashiriki ya soccer,
Kichogo kama kirungu cha kipepe😂😂😂
Friendly Match. Halafu SADC ipo na nchi 16.What is 4 nations tournament???
Kama haukuitwa na FIFA kaa kimya kibane hicho kijambio 😂😂😂 munakaa kubeza sijui FIFA series Nye Nye Nye shiriki na ww basi kama rahisi, tuna mengi Sana yakujivunia league yetu ni ya tano kwa ubora Africa hayo hatuzungumzi, yanga na simba zimeingia robo fainali CAF champion na tanzania ndio nchi pekee iliingiza team mbili Africa 😂😂😂😂Wewe sasa ndo kumba kumba afadhali sama boy, hujui lolote lakini maneno meeengi Kama dadako. Sasa nani aliekudanganya hio FIFA series ilikua na qualifications, si mlipewa mualiko ili mujaze quota ya kikanda.
Uyo ni tako walkerKioo ni nini mzee according to you kibera walker
We ni tako kweli hao ni waganga wa kienyeji uoni we unakatwa nini kwanza wazee haoDoes Bongo have anything original or do you have to imitate Kenya in everything… you would think after you revived your airline you would establish some original creativity… even your uniforms is imitation of Kenya mpaka the neck scarf…. 🤣🤣🤣
View attachment 2945197
Where is profit 🤣🤣🤣🤣 tuoneshe hio profit SASA hvi nataka kuiona
View attachment 2945392
Hizo Q400 wangeongeza hata 3 hivi, maana hata rudi za hapa karibu, Lubumbashi, Comoro, Entebbe, Nairobi zinapiga fresh tu, halafu ATCL wafikirie pia mogadishu na juba......B787 ya April itakua ya 16 alaf kuna q400 itakua ya 17 hizo 3 zilizobaki ni zipi ?? Wanaojua watujulishe
Juba tayar wametangaza q400 wazifanye kwa ajili ya ndani humuhumu alaf waongeze tena boeing 737-9max kama mbili hvi kwa ajili ya ndani Africa alaf wanunue na B777 hata mmoja kwa ajili ya masala ya mbali piaHizo Q400 wangeongeza hata 3 hivi, maana hata rudi za hapa karibu, Lubumbashi, Comoro, Entebbe, Nairobi zinapiga fresh tu, halafu ATCL wafikirie pia mogadishu na juba......
SieHizo Q400 wangeongeza hata 3 hivi, maana hata rudi za hapa karibu, Lubumbashi, Comoro, Entebbe, Nairobi zinapiga fresh tu, halafu ATCL wafikirie pia mogadishu na juba......