Sawa kwani kuna shida katika hilo?Poverty infested Tanzania inanunua ndege mpya cash ilhali kwenye budget wameweka kipengele cha grants (misaada) 😂😂 cha kima sh 5.47 trillions. No wonder tanzanians are the most dumbest nationality kwa sababu ya ill funded education sector. Kati ya dawati/daftari na ndege lipi muhimu. Alafu shirika lenyewe ni loss making halirudishi hata shilingi mojaView attachment 2945087
Kenya mnakusanya kodi kutuliko ila bado mnakopa na hamuna mnachofanya,swali laja.
Je,kodi zinaenda wapi na mikopo mikubwa inaenda wapi!?
Maana hakionekani kinachofanyika kwenu licha ya makusanyo makubwa ya mapato mnayofanya kuliko sisi na mikopo mikubwa mnayokopa.