Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watoto watamu hawa. NairobiWalker hawezi kufikia utamu huo.

1711456274000.png
 
Wamejificha. Wakenya ni waoga mno

Marubani Mbarouk Mohammed Suleiman na Mushi Herman Cyril ndio wamepewa dhamana ya kuirusha BOEING 737- 9MAX toka Seattle Marekani hadi Tanzania. Tazama angani kushuhudia ndege hii inavyowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam.

1711456735084.png
 
Watoto watamu hawa. NairobiWalker hawezi kufikia utamu huo.

View attachment 2945185
Does Bongo have anything original or do you have to imitate Kenya in everything… you would think after you revived your airline you would establish some original creativity… even your uniforms is imitation of Kenya mpaka the neck scarf…. 🤣🤣🤣
IMG_2681.jpeg
 
Wacha ujinga, Intern hawezi akalipwa $450 na mfanya kazi akalipwa $400 hata kama huyo mfanyakazi ni wa diploma.

Likija swali la cost of living hamna tofauti kubwa sana kati ya Kenya na Tanzania kama unavyodhani. Yafaa ukumbuke pia Kenya sii Nairobi tuu, cost of living ya Nairobi inaweza ikawa slightly higher than ya Dar ila ukienda miji mingine kama Eldoret, Nakuru, Meru n.k, cost of living itakuwa chini ya Dar kwa hivo usijifiche kwa hiyo cost of living sana. Kubali tu mshahara wenu ni duni.
Embu uache ubishi we jamaa.
Taratibu za Tanzania afisa tabibu mshahara wa kwanza laki nane na nusu za shilingi pamoja na marupurupu.
Daktari wa intern mwenye degree hupewa laki tisa na nusu mpaka milioni moja na laki moja.
Daktari wa degree ambaye ameshaajiriwa mshahara wa kwanza milioni moja na laki nne.
Uwe unaacha ubishi wa kitoto.
NIKUONGOPEE ILI NIPATE FAIDA GANI??
Badilisha hizo fedha kwenda kwenye dola.

Ukisemea hivyo nikianza kutaja Morogoro,Pwani,Tanga,Iringa,Mwanza na kwingineko maisha ni bei rahisi saaanaaaaa kuliko SEHEMU YEYOTE KENYA.
Na Dar es salaam kilicho bei ni masuala ya ujenzi labda na makazi.
Ila kuanzia vyakula mpaka mavazi mpaka matibabu hakujatofautiana na mikoa mengine.

Bado unaendekeza ubishani wa kitoto narudia tena laki nane mpaka laki tisa ya ki-Tanzania ina uwezo kusukuma maisha ya Mtanzania tena akiwa na familia.
Je kes elfu sabini ina uwezo wa kusukuma maisha ya Mkenya mwenye familia??
Nenda rudi mshahara wetu ni toshelezi wala sio umasikini BALI MSHAHARA WETU TOSHELEZI kwa gharama za maisha kitu ambacho Kenya kiko tofauti.
Hapa tutabishana mpaka kesho.
 
Does Bongo have anything original or do you have to imitate Kenya in everything… you would think after you revived your airline you would establish some original creativity… even your uniforms is imitation of Kenya mpaka the neck scarf…. 🤣🤣🤣
View attachment 2945197
Wanawake wamepauka hivi wafupiii aaghhhh hadi nguo zimepauka😂😂😂😂kama wamelala kwenye jivu bwanaa.
 
Does Bongo have anything original or do you have to imitate Kenya in everything… you would think after you revived your airline you would establish some original creativity… even your uniforms is imitation of Kenya mpaka the neck scarf…. 🤣🤣🤣
View attachment 2945197
Unatuonesha Ng'ombe kutoka Kibera zilizopaka Carolite 🤣 🤣 🤣 Air hostess wafupi kama Ruto
 
Tangu ujipige kifua humu eti unalipwa $400 as a CO nilijua madaktari Tanzania wana mshahara duni sana. Nyinyi hata hamfai kupanua midomo humu. $400 for a CO? Hapa interns (Yani wanafunzi) wanalipwa $530 (Kes 70k) na wanagoma wakidai waongezewe wewe mfanyakazi unajipiga kifua na $400? 🤣 🤣
Sijui kama unajua CO ninn😅
 
Does Bongo have anything original or do you have to imitate Kenya in everything… you would think after you revived your airline you would establish some original creativity… even your uniforms is imitation of Kenya mpaka the neck scarf…. 🤣🤣🤣
View attachment 2945197
Empty talkers. Sisi tumenunua ndege mpya leo tumepokea, nyie mmepokea nini so far.? 😂😂🤣

Unakumbuka nilikwambia march sio mbali.? For your information kesho kutwa joka tunalipokea. Kaa mkao wa mhaho
 
Does Bongo have anything original or do you have to imitate Kenya in everything… you would think after you revived your airline you would establish some original creativity… even your uniforms is imitation of Kenya mpaka the neck scarf…. 🤣🤣🤣
View attachment 2945197
Wivu tu unakusumbua😎
 
Back
Top Bottom